Sawa mkuu,kipo mbali; ila kwa ushari unaweza kukiuza ukaweka mambo yako sawakigamboni mwasonga
kigamboni mwasonga mkuuKiwanja kipo
Wapi nikupe hela
ukiwa na mteja niambieSawa mkuu,kipo mbali; ila kwa ushari unaweza kukiuza ukaweka mambo yako sawa
Palikuwa na ulazima kukomentSubiri wanakuja wanaombaga mikopo watakusaidia mimi sijui
Mkuu,Kiwanja kina thamani Gani?Kipo Eneo Gani?Habarini wakuu.
Nina hati ya kiwanja, ninashida ya mkopo kama mil 2-3. Wapi naweza pata mkopo kutumia hati nimejaribu benki kama 2 hivi nimekosa.