King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Akifulia halafu?
Watu kwa udaku. Hizi ndizo type za kufungua garbage bag la mtu kuangalia kama kala dagaa au mayai.
Nenda Reagency Hotel mida ya saa 2 uck,amejaa tele
King kong ndugu yangu si Mimi au wewe mpaka manji kuishiwa pesa ni kawaida sana so sioni cha ajabu.Haaaaaa Kiranga unaendana na jina lako maana una kiranga kweli relax mkuu mbona umekasirika au na wewe ndo wale wale umefulia hapa ndo kama nimekutonesha kidonda pole mwana ndo maisha
Haaaaaa Kiranga unaendana na jina lako maana una kiranga kweli relax mkuu mbona umekasirika au na wewe ndo wale wale umefulia hapa ndo kama nimekutonesha kidonda pole mwana ndo maisha
Habari JF,
Huyu Jamaa simsikii kabisa na kuna tetesi kafulia,wenye data kamili tujuzeni
Nawasilisha