kanyela mumo
JF-Expert Member
- Jun 16, 2016
- 2,034
- 2,117
Fiesta not reachable, duuuuh.....!!
Kumedia kunsi kukupirika, chanii chikukutile njooomba?
#966# kuduuuu ku mchikioooo pa video mkombe..!
Longa nasi msaani wetu Ney wa mitego, nini kimekukuta? Au ulikuwa kanjanjaa bro ukatulisha matango poli..!?
Nimemis ili ngoma, ITAFAHAMIKA TU.. au unasoma game uje kama KING GK?
Maisha mema brooo, mwenzio nimeshakuwa mganga wa kienyeji. Naamka na kaniki, naenda kwenye kijumba cha kazi aka Msonge.. naagiza kuku na mbuzi kwa sana, siagizi tembele wala mchicha.
Msalimie yule Mwanaume wa Dar mwenye Dimpoz na pozi kwa pozi.
Kumedia kunsi kukupirika, chanii chikukutile njooomba?
#966# kuduuuu ku mchikioooo pa video mkombe..!
Longa nasi msaani wetu Ney wa mitego, nini kimekukuta? Au ulikuwa kanjanjaa bro ukatulisha matango poli..!?
Nimemis ili ngoma, ITAFAHAMIKA TU.. au unasoma game uje kama KING GK?
Maisha mema brooo, mwenzio nimeshakuwa mganga wa kienyeji. Naamka na kaniki, naenda kwenye kijumba cha kazi aka Msonge.. naagiza kuku na mbuzi kwa sana, siagizi tembele wala mchicha.
Msalimie yule Mwanaume wa Dar mwenye Dimpoz na pozi kwa pozi.