Wapi Ney wa Mitego?

Wapi Ney wa Mitego?

kanyela mumo

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2016
Posts
2,034
Reaction score
2,117
Fiesta not reachable, duuuuh.....!!

Kumedia kunsi kukupirika, chanii chikukutile njooomba?

#966# kuduuuu ku mchikioooo pa video mkombe..!

Longa nasi msaani wetu Ney wa mitego, nini kimekukuta? Au ulikuwa kanjanjaa bro ukatulisha matango poli..!?

Nimemis ili ngoma, ITAFAHAMIKA TU.. au unasoma game uje kama KING GK?

Maisha mema brooo, mwenzio nimeshakuwa mganga wa kienyeji. Naamka na kaniki, naenda kwenye kijumba cha kazi aka Msonge.. naagiza kuku na mbuzi kwa sana, siagizi tembele wala mchicha.

Msalimie yule Mwanaume wa Dar mwenye Dimpoz na pozi kwa pozi.
 
Fiesta not reachable, duuuuh.....!!

Kumedia kunsi kukupirika, chanii chikukutile njooomba?

#966# kuduuuu ku mchikioooo pa video mkombe..!

Longa nasi msaani wetu Ney wa mitego, nini kimekukuta? Au ulikuwa kanjanjaa bro ukatulisha matango poli..!?

Nimemis ili ngoma, ITAFAHAMIKA TU.. au unasoma game uje kama KING GK?

Maisha mema brooo, mwenzio nimeshakuwa mganga wa kienyeji. Naamka na kaniki, naenda kwenye kijumba cha kazi aka Msonge.. naagiza kuku na mbuzi kwa sana, siagizi tembele..
Mkuu hapo umewaacha wengi kwenye mataa lakini sisi wakongwe wa town, viunga vya uswazi tumekupata.
 
Fiesta not reachable, duuuuh.....!!

Kumedia kunsi kukupirika, chanii chikukutile njooomba?

#966# kuduuuu ku mchikioooo pa video mkombe..!

Longa nasi msaani wetu Ney wa mitego, nini kimekukuta? Au ulikuwa kanjanjaa bro ukatulisha matango poli..!?

Nimemis ili ngoma, ITAFAHAMIKA TU.. au unasoma game uje kama KING GK?

Maisha mema brooo, mwenzio nimeshakuwa mganga wa kienyeji. Naamka na kaniki, naenda kwenye kijumba cha kazi aka Msonge.. naagiza kuku na mbuzi kwa sana, siagizi tembele..
Mbona hausomeki mkuu mods toa hii thread vilugha vya wapi hivi
 
Hii lugha nakumbuka kauli moja ya zamani "Gari zimegongana, wamefariki watu wawili na wamakonde sita" [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Mbn ney wa mitego yuko sana sema nyimbo zake walizifanyia unafiki
 
Watu wanasahau humu JF hua inaanza hint ndogo tu...alafu yote yana julikana

neema wa mitego sikuhizi hata hilo jina hatumii mara true boy mara ney,
 
Mbona hausomeki mkuu mods toa hii thread vilugha vya wapi hivi

Wewe tulia hivyo hivyo, mimi Mtanzania nina sifa nyingi sana, ikiwemo utajiri wa Lugha aina mbalimbali.

Mapensho star maana yake nini? Na ni lugha gani hiyo? Ntakuloga uwe unaongea pekee yako shauli yako.
 
Back
Top Bottom