Wapi nikasome unesi ngazi ya diploma, Dar es Salaam

Wapi nikasome unesi ngazi ya diploma, Dar es Salaam

layoni

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2014
Posts
217
Reaction score
92
Natafuta chuo cha unesi diploma eneo la dar es salaam.Tayari nina certificate ya unesi kwa hiyo kwa sasa natafuta chuo cha kujiendeleza kwa diploma maeneo ya dar!Kwa mwenye kujua chuo chochote kinachotoa kozi tajwa kwa level ya diploma basi anisaidie kunipa taarifa!

Natanguliza shukrani zangu kwa msaada wako!!
 
Mikocheni school of nursing,.
kipo mikocheni ndani ya Kairuki hospital.
 
Back
Top Bottom