Wapi ninapata suruali aina ya Chino (cadet)?

Wapi ninapata suruali aina ya Chino (cadet)?

Mtafiti77

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2011
Posts
1,877
Reaction score
2,314
Ndugu, kama unafahamu mahali wanauza suaruali aina ya chino/cadets za ukweli hapa Dar nitajie hapa tafadhali. Yaweza kuwa mtumba ama dukani. Mradi tu ziwe za ukweli, siyo midosho.

Jana nimepita maduka ya Mlimani city, hakuna kitu cha maana.

Ninaomba kufahamishwa wandugu
 
Ndugu, kama unafahamu mahali wanauza suaruali aina ya chino/cadets za ukweli hapa Dar nitajie hapa tafadhali. Yaweza kuwa mtumba ama dukani. Mradi tu ziwe za ukweli, siyo midosho.

Jana nimepita maduka ya Mlimani city, hakuna kitu cha maana.

Ninaomba kufahamishwa wandugu
Mkuu jilipue online turkey ama uchina unyama mwingi
 
Ndugu, kama unafahamu mahali wanauza suaruali aina ya chino/cadets za ukweli hapa Dar nitajie hapa tafadhali. Yaweza kuwa mtumba ama dukani. Mradi tu ziwe za ukweli, siyo midosho.

Jana nimepita maduka ya Mlimani city, hakuna kitu cha maana.

Ninaomba kufahamishwa wandugu
Naomba kujua zina nini cha ajabu!
 
Naomba kujua zina nini cha ajabu!
Mimi ninataka hizo nguo, wewe unauliza zina nini cha ajabu. Kwani maelezo yangu yanaonesha ajabu yoyote? Mimi ninazihitaji, kwisha. Wala sihitaji mjadala wa uzuri , ubaya wala maajabu.
 
Ndugu, kama unafahamu mahali wanauza suaruali aina ya chino/cadets za ukweli hapa Dar nitajie hapa tafadhali. Yaweza kuwa mtumba ama dukani. Mradi tu ziwe za ukweli, siyo midosho.

Jana nimepita maduka ya Mlimani city, hakuna kitu cha maana.

Ninaomba kufahamishwa wandugu
Inbox nichek
 
Za mtumba siku shuka KITUO CHA boma halafu fanya kam unakuja mtaa msimbazi pembezoni mwa KIWANDA CHA BIA utakuta machinga wamesimama
huwa wananiuziaga CADET kali sana za mtumba halafu OG na zinadumu kuliko za dukani na bei nafuu tu
jaribu hapo siku moja
au pia MAKUMBUSHO katika maduka ya simu pale utakuta baadhi ya flemy wanauza CADET za mtumba nzuri sana hata mashati mazuri pia pia hapo nanunuaga ingawa makumbusho kidogo bei imechangamka ila QUALITY sana
 
Ndugu, kama unafahamu mahali wanauza suaruali aina ya chino/cadets za ukweli hapa Dar nitajie hapa tafadhali. Yaweza kuwa mtumba ama dukani. Mradi tu ziwe za ukweli, siyo midosho.

Jana nimepita maduka ya Mlimani city, hakuna kitu cha maana.

Ninaomba kufahamishwa wandugu
Nenda kwenye maduka ya Walebanon wana vitambaa vizuri sana vya cadet, tafuta fundi mzuri akushonee suruali ya ndoto zako
 
Back
Top Bottom