Wapi nipate soko la uranium

Ozzie

JF-Expert Member
Joined
Oct 9, 2007
Posts
3,217
Reaction score
1,261
Rafiki Yangu Wa Karibu Aliyepo Nje Ya Mipaka Ya Tanzania Anaulizia Kama Kuna Black Market Ya Uranium.
 
ebu wasiliana na Ahmednejad wa Iran au pale India jamaa wanahitaji hiyo kitu haraka na wanalipa vizuri. Mi nawafahamu jamaa wanaofanya nao biashara hiii ya Uranium nk.
 
Mkuu yani wewe tayari jamaa wameanza kukufuatilia! Hii mambo huweki huku!
 
Mimi nahitaji kiasi kidogo kama 30g hivi,nataka kufundishia wanafunzi wangu wa PHYSICS kwenye topic ya RADIOACTIVITY.Nakuomba uifunge vizuri maana ni hatari sana.
 
Mmmnh!!! deal nyingine hizi!!!
 
huyu jamaa anatisha umeanzaje kuwaza hayo mambo ,nenda wizara ya madini unaweza yauza nje kisheria kabisa kwa kupata vibali vya taasisi mbalimbali .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…