Wapi nitapata connection ya wauzaji wa PIKIPIKI kwa bei ya kiwandani kwa wachina wenyewe kwa pikipiki za SINORAY, FEKON, KINGLION etc

Wapi nitapata connection ya wauzaji wa PIKIPIKI kwa bei ya kiwandani kwa wachina wenyewe kwa pikipiki za SINORAY, FEKON, KINGLION etc

Evans Richard Arsenal

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2018
Posts
366
Reaction score
759
Husika na kichwa hapo juu, naomba kufahamu wapi nitapata connection kutoka kwa wachina viwandani au kuagizia china nipate kununua pikipiki kwao moja kwa moja bila kwenda madukani kwa bei ya rejareja au kwemda kwa mawakala wa mikoani au wilayani.

Nataka kufungua duka kwa ajili ya kuuza pikipiki aina ya sinoray, Fekon, Kinglion, TVS etc pamoja na vifaa vya pikipiki kwenye duka hilohilo.

Naomba kufahamu connection kwa mtu mzoefu wa hizi kazi au kwa yoyote mwenye uelewa wa pikipiki kutoka viwandani zikishafika Dar Es Salaam au Pwani kwenye Warehouses.

Nimejaribu kuulizia kwa wafanyabiashara wa pikipiki ila wanafanya kama siri ili wasiwe wengi kwenye biashara zao ila natamani niwe na duka langu binafsi la kuuza pikipiki au kununua pikipiki kwa bei ya jumla kutoka kiwandani na kutoa kwa vijana kwa MIKATABA.

Kama connection itahitaji kuwezeshana pia nitakuwa tayari kwa hilo.

Natanguliza shukrani kwenu.
 
Husika na kichwa hapo juu, naomba kufahamu wapi nitapata connection kutoka kwa wachina viwandani au kuagizia china nipate kununua pikipiki kwao moja kwa moja bila kwenda madukani kwa bei ya rejareja au kwemda kwa mawakala wa mikoani au wilayani.

Nataka kufungua duka kwa ajili ya kuuza pikipiki aina ya sinoray, Fekon, Kinglion, TVS etc pamoja na vifaa vya pikipiki kwenye duka hilohilo.

Naomba kufahamu connection kwa mtu mzoefu wa hizi kazi au kwa yoyote mwenye uelewa wa pikipiki kutoka viwandani zikishafika Dar Es Salaam au Pwani kwenye Warehouses.

Nimejaribu kuulizia kwa wafanyabiashara wa pikipiki ila wanafanya kama siri ili wasiwe wengi kwenye biashara zao ila natamani niwe na duka langu binafsi la kuuza pikipiki au kununua pikipiki kwa bei ya jumla kutoka kiwandani na kutoa kwa vijana kwa MIKATABA.

Kama connection itahitaji kuwezeshana pia nitakuwa tayari kwa hilo.

Natanguliza shukrani kwenu.
Kinglion nenda Makumbusho karinu stand dala dala uliza ghala lao utaonyeshwa nenda hapo.,....TVS wakala yuko posta mpya pale kituoni uliza.....utaona....Boxer nenda Kwa MO.....utauziwa kwa jumla ......kama unachukua nyingi utaambiwa terms zao...
..
 
Ingia mtandaoni tafuta kampuni ambayo haina wakala tz ingia nayo ubia kama una pochi nene kwani hizo pikipiki unazosema nadhani wapo mawakala wao so hata ukienda china wewe hawakuuzii cause tayali wana mikataba ya kuwa dealers so kama unaweza watafuta hao mawakala hapa tz ongea nao wakuuzie kwa bei ya jumla ili na wewe ukauze upate faida
 
Kwa pikipiki nyingi (nadhani zote ulizotaja) zina mawakala Tanzania tayari,hivyo hata ukitaka kununua China huwezi uziwa,utaelekezwa kwa mawakala wao.

Ushauri
1.Nunua kwa mawakala wao Tanzania,kama unataka the same brands ulizotaja.

2.Nunua brands ambazo hazina mawakala Tanzania.Kuhusu spares usiwaze sababu Pikipiki karibia zote zinaingiliana spares,mfano model za GN,CG etc.

Kwenye usafirishaji jitahid usafirishe pikipiki ikiwa imefunguliwa,usisafirishe pikipiki ikiwa nzima,itakukata sana kwenye usafiri.

Hope umepata mwanga
 
Back
Top Bottom