jacquejaytee
Member
- Jan 20, 2014
- 46
- 27
Mcheki Pm Kwa kumtumia meseji au piga namba yake hiyo kwenye picha.Nampatia wapi huyu lege
Heri ya mwaka mpya wana jamvi,funguo ya gari imeharibika aina ya suzuki splash,nimejaribu kwenda kwa maduka mawili matatu wote wameshindwa sababu ni suzuki na Kuna duka posta barabara ya samora mtaa wa mosque wataalam wa funguo lkn wameshindwa.Yan ufunguo umechomoka kutoka kwenye ile body yake hivyo kutengana na mkaa na gari haiwaki bila
0627136700 au 0717228064Nampatia wapi huyu lege
Okay sawaa,nitarudiMkuu jamaa akikusaidia ulete mrejesho ili na wengine wakipata shida wamcheki.
Okay sawaa,nitarudi