Muwekee website za manufacturers hao wa Vatcan na German kama unawafaham mkuuHizo zinatengenezwa Kwa order
Lazima utolee maelezo ya kutosha unaenda kuifanyia nini Vinginevyo hupewi
Zinatengenezwa Italy Vatican city na Germany only
Ukiagiza Leo utapokea baada ya mwaka mmoja
MkuuHizo zinatengenezwa Kwa order
Lazima utolee maelezo ya kutosha unaenda kuifanyia nini Vinginevyo hupewi
Zinatengenezwa Italy Vatican city na Germany only
Ukiagiza Leo utapokea baada ya mwaka mmoja
Nipe dili nikakuibie kanisani kwetu paleChuma Cha Germany
MkuuuKarakana za SIDO watashindwaje kulitengeneza hilo Jidude? Si ni madini ya shaba na chuma tu!
Mkuu usijekuwa unataka kwenda "kuiazima" kanisa flani π π π π πKaka una bei gan
Shukrani Sana MkuuBronze church bells unaweza kuzipata eBay kwa bei ya kuanzia Β£200-5000
Na kwenye satanic temple huwa zipo.. ndio tunazo tumia ππ.. kwenyr ibada zetuMkuuu
Sina Nia Mbaya Ila Sido Sidhani Kama Wanaweza Kutengeneza Hiyo Kengele, Ile Ukiiona Bila Shaka Hutaweza Kusema Hivyo
Kuna Maeneo Mengi Hasa Hasa Kwenye Makanisa Makongwe Hizo Kengele Ni Za Miaka Mingi Chuma Kitupu (Chuma Cha Pua) Yaani Kutu Haiwezi Kula
Sido Wanaweza Kutengeneza Ila Kisiwe Chuma Cha Pua
Ukipata Wasaa Tembeeni Kwenye Makanisa Makongwe Uliza Hizo Kengele Ni Za Miaka Gani Utaambiwa
Haaππππ πMkuu usijekuwa unataka kwenda "kuiazima" kanisa flani π π π π π
Nako Huko Pia Mnatumia Kengele Na Mnapiga Mapigo Ya Kanisani Kabisa Ama Vp,Na kwenye satanic temple huwa zipo.. ndio tunazo tumia ππ.. kwenyr ibada zetu
Muulize mtoa mada anaitaka ya nini? anataka kufungua kanisa au ndio hizo siri unazozisema πHaaππππ π
Awali Nilifikiria Zinapitikana Sehemu Yoyote Hasa Hasa Tanzania, Leo Ndiyo Nimejua Kuwa Zile Kengele Za Kanisani Zina Siri Nzito Sana.
Ni Rahisi Kununua Gari Ila Siyo Kengele, Maana Unatakiwa Utoe Sababu Ya Kuinunua Halafu Muuzaji Aridhike Ndiyo Order Yako Ishughulikiwe Kwa Mwaka Mmoja.
Kengele Kengele Bila Shaka Ina Mengi Sana ππππ