Uwepo Wa MunguHizi kengele huwa tunatumia kuzipa ishara roho, ili ziwe katika unit ya kukaa kwa hali ya utulivu kwa ajiri ya roho kuu kuanza kuendesha ibada na miongozi ili portal ( malango nayo yafunguke ).. huamsha roho na kuziweka tayari, malango kufunga na shughuli za kiroho huanza
Nilisema Paka Atakufa Kengele Ikiwa Kubwa Sana
Ukasema Nikiipata Nimfunge Hivyo Hivyo ππ
Spirit zikisha sikia hiyo kitu hukaa tayari tayari kwa kazi.. na malango hufunga, evil,demons,falleng angel huanza kupanda na kutafuta tafuta wa kummezaUwepo Wa Mungu
MkuuMuulize mtoa mada anaitaka ya nini? anataka kufungua kanisa au ndio hizo siri unazozisema π
sawa mkuuππ»ππ»Tupo Uchumi Wa Kati
Kwa Haraka Sana Maombi Yako Yatazingatiwa
Muhimu Sana Tupate Mzigo Huo ππ
Mkuu
Ushauri Mzuri Sana Ila Kuna Tofauti Kubwa Sana
Ukisikia Mlio Wa Kengele Toka Germany Na Italy Vatican City, Tunasema Hiyo Inalia Kama Kinanda
Rim Haaa Yenyewe Hata Nikitaka Fuso Najua Muda Huu Unaniletea Haraka Sana, π€£π€£ππππ
MkuuKiongozi huku nilipo wamefunga spika maalum wanatumia USB, mlio wake ni sawasawa na hizo kengele. .
KumbeHuyu ndugu hamjamwekewa anaongea kuhusu siasa
Hizo zinatengenezwa Kwa order
Lazima utolee maelezo ya kutosha unaenda kuifanyia nini Vinginevyo hupewi
Zinatengenezwa Italy Vatican city na Germany only
Ukiagiza Leo utapokea baada ya mwaka mmoja