Wapi nitapata kengele (Bell)

Natumae mleta mada ulipata muongozo...
Muongozo Tayari Kinachoendelea Sasa Ni Ukusanyaji Wa Cash Ili Nipate Germany/Italy. Hawa Wakoloni Ndiyo Pekee Waanaotengeneza Hiyo Kitu Tena Kwa Order

(Siyo Kama Vichwa Vya Treni Vilivyookotwa Bandarini, Kwa Kukosa Mwenyewe)
 
Ni kweli mie napenda inavyolia hasa pale wakati wa pasaka ukiimbwa. Wimbo wa utukufu kwa Mungu juu, were baba kengele inalia hio Kama nn!!!!!unaskia ngo ngo ngo ngo, halafu zote zinamlio mmoja
 
Zamani nilidanganywa hiyo kengele ikidondoka inadidimia ardhini na kutokomea.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜†πŸ˜πŸ˜πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜ƒπŸ˜€πŸ˜€
 
Chuma Na Hii Christmas Huko Vatican Kengele Zinagongwa
 
Muulize mtoa mada anaitaka ya nini? anataka kufungua kanisa au ndio hizo siri unazozisema 😎
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…