mkulima maskini
JF-Expert Member
- May 3, 2015
- 254
- 50
hbr wana jamvi nimemaliza 2013, Nina division IV point 32, chemist-D, Biology -D, Maths-D, Physics-E. napanda sana kusoma masomo ya phamacy, wapi ntapata kujiunga na certificate ya phamarcy
hbr wana jamvi nimemaliza 2013, Nina division IV point 32, chemist-D, Biology -D, Maths-D, Physics-E. napanda sana kusoma masomo ya phamacy, wapi ntapata kujiunga na certificate ya phamarcy
Kampala gongo la mboto