Nafikiri amechoka na itelijensia uchwara za serikali ya magamba.mkuu unataka kutu eleminate nini? Nalog off
Anataka naye apate deal la kumuweka Rais madarakani mwaka 2015. Nalog offNafikiri amechoka na itelijensia uchwara za serikali ya magamba.
Kama uko Dar wahi pale Ubungo asubuhi sana, panda gari la kwenda Moshi.Wadau ni chuo gan hapa tanzania kinafundsha masomo ya mambo ya intelijensia ili nami nijiunge?
labda watafute private detectives kama wapo bongo.
Inteligence haifundishwi. Kinachofundishwa kingine kabisa, inategemea na "how intelligent you are" kuelewa.
Kwanza kabisa, anza kwa kusoma kila unachokutana nacho. Usichaguwe cha kusoma. Anzia hapo.
hakuna chuo kwa tz labda usome via internet searchblazer.com anzia hapo kuna vitu vya maana!
duh. Wee kiboko!
Inteligence haifundishwi. Kinachofundishwa kingine kabisa, inategemea na "how intelligent you are" kuelewa.
Kwanza kabisa, anza kwa kusoma kila unachokutana nacho. Usichaguwe cha kusoma. Anzia hapo.
Inteligence haifundishwi. Kinachofundishwa kingine kabisa, inategemea na "how intelligent you are" kuelewa.
Kwanza kabisa, anza kwa kusoma kila unachokutana nacho. Usichaguwe cha kusoma. Anzia hapo.