Wapi nitapata mafunzo ya intelijensia?

Huo ni ukweli kabisa FF. Kuna kitabu cha field officer wa Mosad who defected kinaitwa By Way of Deception. Its a good reference book

Intelligence ipo ya aina nyingi sana

Stategic intelligence, business intelligence, artificial intelligence, nk.... ss sijui ww unataka usomee ipi...? na zote hizo huwa zinatumiwa kulingana na mahali husika.........., for more info ni PM. kwa maana kuwa mengine ni secret za intelligence.....!
 
Police wa TZ wanasoma kama somo tu lakini ni sharti uende nchi za watu huko ndo wako vizuri.Tafuta kwenye internet
 
Kwa uelewa wangu hauombi bali wao ndio wanakutafuta kulingana na uelewa. muonekano na mahusiano na jamii. kama ni mnene sana hauwezi kwenda ama ukiwa na umbo linalojulikana kirahisi. Unaweza kuomba kupitia kwa mtu unayemfahamu lakini ni lazima wakufuatilie nyendo zako kwa mda wa kutosha. Ukipata nafasi chuo kiko bagamoyo na zanzibar nadhani mafunzo ya awali ni mwaka mmoja lakini ndugu zako hawatajua uko wapi! ukitoka kazi za mwanzo ni kupandikizwa kulingana na ujuzi ulio nao na kama uelewa wako ni mpana zaidi ndipo unaongezewa ujuzi zaidi. kama una ujasiri nenda pale kwenye hospitali yao kijitonyama unaweza pata rafiki wa kumuuliza.
 
Ukijibu maswali haya basi utaonyeshwa chuo kilipo.
1. upo tayari kuwa kichaa kwa muda utakaopangiwa?
2. je, moyo wa uzalendo unao.
3. upo kidato cha sita?
4. km mwaume, je afya yako ipo fit au umeshaaugu naniiiii ile?

:shock:
 
My friend to get this training your asking is not so easy this is because in the begainig those people where serected in the serect ways to join in these organ like tiss in tz and cia and fbi in us masada in israel and other countries and other wise kaka be connected to jwtz and polisi also tiss.
 
Inteligence haifundishwi. Kinachofundishwa kingine kabisa, inategemea na "how intelligent you are" kuelewa.

Kwanza kabisa, anza kwa kusoma kila unachokutana nacho. Usichaguwe cha kusoma. Anzia hapo.

kwa hili la kusoma kishafeli kabla hajaanza wabongo hawapendi kusoma hii inaeleweka
 
you are 5% right....
 
Lugha tu tatizo
 

Nnakushauri:

Wacha kuandika Kingereza. Hujuwi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…