Wapi nitapata mafunzo ya intelijensia?

Inteligence haifundishwi. Kinachofundishwa kingine kabisa, inategemea na "how intelligent you are" kuelewa.

Kwanza kabisa, anza kwa kusoma kila unachokutana nacho. Usichaguwe cha kusoma. Anzia hapo.
Faiza ...leo umeamka vizuri
 
mkuu unataka uanzishe shirika la kijasusi ?
 
Huo ni ukweli kabisa FF. Kuna kitabu cha field officer wa Mosad who defected kinaitwa By Way of Deception. Its a good reference book
I had a read on this former Mossad officer, Mr. Victor. Ni kitabu kizuri sana
 
Siyo kizungu hicho
 
Inteligence haifundishwi. Kinachofundishwa kingine kabisa, inategemea na "how intelligent you are" kuelewa.

Kwanza kabisa, anza kwa kusoma kila unachokutana nacho. Usichaguwe cha kusoma. Anzia hapo.
intelligence haifundishwi..????[emoji15] [emoji15] [emoji15] .....!!!!!!!....embu rudi moja kwanza....!
 
intelligence haifundishwi..????[emoji15] [emoji15] [emoji15] .....!!!!!!!....embu rudi moja kwanza....!

Intelligence haifundishwi, once you are intelligent you are intelligent.

Na ndiyo maana kazi hizo watu huwa handpicked na hazina ku apply.

Kuna Mtanzania mwenzetu yupo NSA (of course kwa sasa ni Mmarekani), he was handpicked from Harvard.

How did I know? Do not ask me.
 

Hahahaha atakua Mngoni huyo
 
Elimu yako ya cheti cha Uandishi wa Habari kimebakiza miaka 4 na miezi 10 kutotambulika. Kasome acha kunasibisha vikitu vidogo na mambo mapana.
 
basi sawa...
 
Vyuo vipo vingi sana CCM kirumba, Mkwakwani Tanga, Sheikh Amri Abeid, Uhuru, Kaunda, Chamanzi, Nyamagana, Amani Zanzibar, Nagwanda Sijaona
 
"" American private security company,
1 Black Tie Protection Services,
2. ASIT Consulting.
3.XMark LLC
4.Ultra Electronics USSI
all of whom are part of the astounding 11 private mercenary companies now guarding Trump"
Intelligence training unaweza kuipata popote.
Wale vijana wanaotoka Ulaya kwenda S
 
Ungeandika kiswahili Mungu angekusaidia sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…