Heshima zenu wakuu..
Naombeni taarifa ya sehemu nitakapoweza kupata scholarship kwa vyuo vya hapa nchini kwa ajili ya Masters. Mimi napendelea zaidi SUA kwa kuwa digrii yangu ya kwanza niliipata hapo na nataka kuendeleza fani. Pia ningependa nipate taarifa ya sehemu ninayoweza kupata mkopo kwa ajili ya kulipia masomo hayo zaidi ya bodi ya mikopo.
Asanteni..
Omba mkopo bodi ya mikopo.
Heshima zenu wakuu..
Naombeni taarifa ya sehemu nitakapoweza kupata scholarship kwa vyuo vya hapa nchini kwa ajili ya Masters. Mimi napendelea zaidi SUA kwa kuwa digrii yangu ya kwanza niliipata hapo na nataka kuendeleza fani. Pia ningependa nipate taarifa ya sehemu ninayoweza kupata mkopo kwa ajili ya kulipia masomo hayo zaidi ya bodi ya mikopo.
Asanteni..
Heshima zenu wakuu..
Naombeni taarifa ya sehemu nitakapoweza kupata scholarship kwa vyuo vya hapa nchini kwa ajili ya Masters. Mimi napendelea zaidi SUA kwa kuwa digrii yangu ya kwanza niliipata hapo na nataka kuendeleza fani. Pia ningependa nipate taarifa ya sehemu ninayoweza kupata mkopo kwa ajili ya kulipia masomo hayo zaidi ya bodi ya
mikopo.
Shukuru Mungu umemaliza hiyo ya kwanza kuna wenzio bado wanahangaika kutafuta at lst hiyo moja kama uliyo nayo wewe vigezo wako navyo ila bado mikopo au hizo scholarship hawapati. Labda nikushauri hapo ulipofikia una uwezo wa kujipanga upate kazi au shughuli yeyote itakayoweza kukuingizia kipato ambacho utaweza kudunduliza kwa ajili ya kijifadhili mwenyewe ama masomo ya jioni au vyovyote utakavyoona inafaa lakini ukikaa kusubiri mikopo ama sijui scholarship utadumaza uwezo wako na kupoteza muda wako bure.... It can be done play yo part brother' wishing you best of luck
Mkuu kaeso, Kama wanavyo fanya wezetu wakenya ebu jaribu kuitisha harambee ili upate kianzio toka kwa ndugu, marafiki, jamaaa na ma classmate nina imani kabisa utapata msaada!
Hawa bado wananidai sina hakika kama wanatoa mikopo kwa watu wa masters.Omba mkopo bodi ya mikopo.
Asante kwa taarifa ngoja nifuatilie.Kuna scholarship zimetoka za kwenda kusoma india omba uende ukasome kwa information zaidi wasiliana na ubalozi wa india.
Hii ni approach nzuri lakini kabla ya kuitisha inabidi kwanza nizichange mwenyewe kwanza.Mkuu kaeso, Kama wanavyo fanya wezetu wakenya ebu jaribu kuitisha harambee ili upate kianzio toka kwa ndugu, marafiki, jamaaa na ma classmate nina imani kabisa utapata msaada!