Ungeweka wazi hio shida watu wangekupata ufumbuzi,Ili usiipoteza nyumba hio maana pesa ya mkopo huwa ni tamu,kulipa chungu.Siwezi kuuza,maana ilipo ndio na Mimi nakaa nyumba ya uwani. Nauzaje sasa? Nina shida tu na hiyo pesa
Wewe mtu akikukopesha akili hana kwa maelezo uliyotoa hiyo pesa hutarudishaHalloww, naombeni msaada jamani.
Wapi nitapata mkopo kwa Kuweka dhamana ya Nyumba?. Nimejaribu kwenye Banks wanasema mpaka niwe na biashara au Mfanyakazi wa Serikali, NAHITAJI MKOPO ambao dhamana ni nyumba TU. MKOPO usiwe wa dharura lakini. Niurejeshe taratibu.
Kwanini unamshauri asiende bank?Usikanyage bank
mmmh wewe umejiunga jumatatu alafu jumamosi unaomba mkopo.Nahitaji mkopo
😂😂😂mmmh wewe umejiunga jumatatu alafu jumamosi unaomba mkopo.
Hapana. Acha uongo.Bank wanataka Mpaka niwe Mfanyakazi za Serikalini.
Unaleta masihara, ndugu yupi wa Umma akakopee mtu 20M hahahAu tafuta ndugu yako au jamaa yako mtumishi wa Uma akukopee bank.