helo great thinkers ninaombeni kwa mwenye ufahamu juu ya mikopo isiwe bank kwani lengo langu,ni kukopa fedha kidogo ili niongezee mtaji katika biashara yangu nipo tukuyu mbeya,kaz yangu ni mwalimu karibu,kwa ushauri ndugu zangu
Kama shs ngapi? Kuna watu binafsi wanakopesha lkn uwe na kitu cha kuweka dhamana, ila uwe makini kwenye urejeshaji usipitishe tarehe mliyokubaliana kwani hutakuta hiyo mali uliyowekeza!
siwez kukopa bank pesa kidogo namna hyo wakati wangu ukifka ntakopa,bank chamsingi ni kupanga malengo na kuyatimiza kwa wakati sahihi kama unavojua watu hawapangi kushindwa ila wanashindwa kupanga
ndio hapo sasa,halafu anasema pesa ndogo,sasa mbona hana pa kuipata.
Wakati kukopa hakuangalii ni Bank au wapi,we mtu binafsi atakukopesha kwa riba si chini ya 30%,sasa hapo si zaidi ya Bank?
Siku hizi hakuna mtu anatoa pesa kirahisi,na kama ni mtu binafsi basi jiandae dhamana yako kuuzwa,maana kuna kamchezo kao ka kulizana.