Nguo za wadada jumatatu na alhamis wanafungua Belo makoroboi gauni grade one Bei ni 7000 Hadi 10000 na sketi wengi wanauza 5000 kwa siku wanayofungua ila hata ukienda siku zingine(kasoro jmosi na jpili) utapata nguo nzuri kwa Bei ya kawaida sketi 3000 na gauni 4000 Hadi 5000.
Mlango mmoja sijawahi kwenda ila niliambiwa jumatatu asubuhi Sana saa 12 uwe umefika utakuta wengi tu Wanakata Belo siku hiyo za nguo zote watoto,wakubwa, mashuka na pochi kwa kuanzia nakushauri Anzia na mlango mmoja kwanza kuna option nyingi.