Bongotunacheza
JF-Expert Member
- Dec 7, 2018
- 983
- 2,306
Habari zenu wana jamvi? Ninataka kuandika bango kwenye shuka Mimi mwenyewe bila kupeleka kazi kwa fundi. Ninauliza ni wapi nitapata rangi maalumu kwa ajili ya kuandika kwenye mashuka?
Nipo dsm.
With much thanks in advance
Nipo dsm.
With much thanks in advance