Wapi nitapata viatu Vans/Allstar/Converse original hapa Tanzania

Wapi nitapata viatu Vans/Allstar/Converse original hapa Tanzania

Ndenge Nini

Senior Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
125
Reaction score
216
Nimejaribu kuulizia sana kama hawa jamaa wana agent wao hapa nchini kwetu au Africa mashariki kwa ujumla sijapata, zaidi ninapata bidhaa zao lakini kiukweli sio original kwa zile ambazo nimezipata, nanunua tu sababu ni shabiki wa viatu hivyo, maana wakala nimeulizia ambaye yupo karibu labda South Africa, hivyo naombeni kujua kama kuna sehemu wanapouza aina hizi za viatu ambavyo ni original basi anielekeze nikanunue. Original tafadhali sio copy
 
Vans na converse nenda Men Base (ipo Barabara ya Chuo Kikuu kule Survey).

Wacheki Instagram menbasetz
 
Back
Top Bottom