Josh Ramadhan Member Joined Nov 8, 2013 Posts 60 Reaction score 10 Jul 24, 2015 #1 Jaman naombeni mnijuze wapi nitapata vifaranga wa kware pamoja na bei zake.
S salama msellem New Member Joined Jul 29, 2015 Posts 1 Reaction score 0 Jul 29, 2015 #2 mm nina kaka yng ambae anauza mayai ya kware pamoja na vifaranga na pia ukitaka nyama yao, anapatikana Zanzibar, Mkunazini mkabala na green garden restaurant
mm nina kaka yng ambae anauza mayai ya kware pamoja na vifaranga na pia ukitaka nyama yao, anapatikana Zanzibar, Mkunazini mkabala na green garden restaurant
TO2004 JF-Expert Member Joined Jan 11, 2013 Posts 540 Reaction score 219 Jul 30, 2015 #3 Mkuu mie ninao vifaranga waa kware nipo dsm natotolesha mwenyewe bei ni kama ifuatavyo:- 2 weeks-3000 3 weeks-4000 4 weeks-5000
Mkuu mie ninao vifaranga waa kware nipo dsm natotolesha mwenyewe bei ni kama ifuatavyo:- 2 weeks-3000 3 weeks-4000 4 weeks-5000