dvj nasmiletz
JF-Expert Member
- Jul 23, 2018
- 2,079
- 2,254
Fanya hivo kiongozYani leo leo nimeona tangazo kamma hili tweeter la watu wanaoprint. Ngoja ni retrieve nikuletee
Marasi ndio akina nanHuko Wanawatumia marasi kuchora
Huu uzi ni kwa watu wazima..hatuitaj watoto
Kimya mkuuYani leo leo nimeona tangazo kamma hili tweeter la watu wanaoprint. Ngoja ni retrieve nikuletee
Mku ulifanukiwa kwani mm kuna kitu nataka wanitengenezeeKimya mkuu
Sikufanikiwa mkuuMku ulifanukiwa kwani mm kuna kitu nataka wanitengenezee
Poa mkuuMkuu nakushauri nenda katangaze kwenye magroup ya biashara like Facebook utapata msaada wa haraka
mpaka leo? basi piga 0754-016151 hakikisha una oda kubwaPoa mkuu
Poa poa..nakupmHabari. Mimi ni label na logo design. Natumia fursa hii kukusaidia.
Maadamu tayari umepata logo hatua yenye umuhimu mkubwa zaidi ni kuchonga rubber. Kwa hapa Dom sidhani kama kuna wataalamu wa kuchonga rubber. .. ni hakuna. Printers uwa wanategemea kuchonga rubber Dar then unakuja na rubber yk unampatia printer then anakuchapishia ktk suflet. Au unaweza kuprint hukohuko Dar.
Kuna jamaa wako vizuri in shaa Allah nitawapa no yako wakucheki. Kama hautajali unaweza kunitumia no yk. No yangu ni 0688999006
Logoriddim
Nitakupigia mkuumpaka leo? basi piga 0754-016151 hakikisha una oda kubwa
ikishindikana nione Inbox