Meneja CoLtd
Senior Member
- Mar 6, 2021
- 122
- 143
Comskills, makumbusho business complex 2nd floor room no 1Habari wakuu,
Baada ya miaka kadhaa tangia nimehitimu shahada yangu ya kwanza ya maswala ya uchumi na fedha nilikua naomba anayefahamu sehemu yoyote Kwa hapa Dar ambapo naweza kwenda kusomea
Advance Excel
Quick books
Tally Kwa Bei nafuu anaelekeze.
Nataka na kacheti mkuuYoutube
yah, hii ni ya Financial reports na mambo mengine mengineKumbe kuna advanced excel
Thanks, nitawasiliana nao niangalie Bei zao zipojeComskills, makumbusho business complex 2nd floor room no 1
Kuna mtaalamu wa Zoho Books hapo, niambiae.Comskills, makumbusho business complex 2nd floor room no 1
Cheti utapeleka wapi sasa?Nataka na kacheti mkuu
Sometimes watu hawaitwi kwenye usali kwasababu ya kukosa uthibitisho wa vitu walivyovijaza kwenye CV.Cheti utapeleka wapi sasa?