Wapi nitawapata wauzaji wa jumla wa vioo na touch za simu?

Wapi nitawapata wauzaji wa jumla wa vioo na touch za simu?

Sangoma

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2012
Posts
344
Reaction score
165
Habari za majukumu naombwa kujuzwa juu ya biashara ya vioo vya simu vya bei ya jumla mi nifundi simu pia naduka la accesories nahitaji kupunguza gharama za upataji wa vioo na touch haswa kwa simu za Kichina maana naona wasambazaji naochukua kwao hapa nchini awaishiwi visababu na kupandisha bei kila kukicha kwa visingizio vya corona kodi nk.

Niwapi naweza nunua hizi bidhaa kwenye masoko yapi kwa bei ya jumla ili niweze kuendana na soko na kuuza kwa faida naamini kila biashara ina faida japo japo wao ujilalamisha nakujifanya awapati kitu ila awataki kuacha hizo biashara mwenye kujua ni wapi naweza pata naomba connection.

IMG_9871.jpg
 
Kuna nyuzi nyingi zinaelezea namna ya kununua bidhaa online.

Zitafute naamin utapata mwangaza mzuri.
 
Mkuu, natamani kujifunza kutengeneza simu, unanisaidiaje? Na je itachukua muda gan kuelewa vzr na kujua kutengeneza simu?
 
Wanafundisha veta ukienda nenda kachukuwe knowledge
Hadi VETA tena. Maisha magumu hata kusaidiana kupeana maujuzi ili tusiombane pesa kuwe kugumu. Hivi unadhani mm sijue ka huo ujuzi unapatikana veta pia, hujiulizi kama nataka mliopata huo ujuzi veta nam mnifundishe? Enewei Mungu ni wetu sote🙏
 
Dunia ya sasa ivi ni ya cheti Mkuu,, anyway mtu kukusaidia ni option yke ila pia amekupa mwanga elimu ameisotea VETA

Hataki na
Hadi veta tena. Maisha magumu hata kusaidiana kupeana maujuzi ili tusiombane pesa kuwe kugumu. Hivi unadhani mm sijue ka huo ujuzi unapatikana veta pia, hujiulizi kama nataka mliopata huo ujuzi veta nam mnifundishe? Enewei Mungu ni wetu sote[emoji120]
Wew upitie shortcut
 
Mkuu uko sehemu gani, hata hivyo ni kweli mobile phone accessories bei imepanda tena kutokana na corona. ila kama uko dar au dom naweza kukuunganisha na wauzaji wa bei ya jumla.
 
mkuu uko sehemu gani, hata hivyo ni kweli mobile phone accessories bei imepanda tena kutokana na corona. ila kama uko dar au dom naweza kukuunganisha na wauzaji wa bei ya jumla.
Nami pia nahitaji nivyema Ukiongea humu humu hili kulahisisha na wengine twenye uitaji.
 
Kwa Dar Kariakoo Aggrey/Msimbazi uliza duka la Joje au Makongoro.

Kwa Dodoma duka liko opposite na Tigo mauzo uliza kwa Mudi hawo wote sina ubia nao usije ukasema napiga promo.
 
kwa dar kariakoo aggrey/msimbazi uliza duka la joje au makongoro
kwa dodoma duka liko opposite na tigo mauzo uliza kwa mudi hawo wote sina ubia nao usije ukasema napiga promo.
Sisi ambao tupo mikoani Atupo Dar unaweza Tusaidia namba zao za simu mkuu.
 
mkuu uko sehemu gani, hata hivyo ni kweli mobile phone accessories bei imepanda tena kutokana na corona. ila kama uko dar au dom naweza kukuunganisha na wauzaji wa bei ya jumla.
Wauzaji wengi wa bei za jumla nawajua nafanya nao biashara kila wakati nahitaji sasa na mimi kununua huko wanako nunua wao ili niweze kumuuzia mteja kwa bei wanayo uza wao ili na mimi niweze kufanya biashara nikinunua kwao faida ni kidogo sana nahitaji kujua siri ilioko hapo mbele corona sawa ila pia ni kawaida kwa wafanya biashara wanao agiza nje kuwa na visingizio mbali mbali.
 
Wauzaji wengi wa bei za jumla nawajua nafanya nao biashara kila wakati nahitaji sasa na mimi kununua huko wanako nunua wao ili niweze kumuuzia mteja kwa bei wanayo uza wao ili na mimi niweze kufanya biashara nikinunua kwao faida ni kidogo sana nahitaji kujua siri ilioko hapo mbele corona sawa ila pia ni kawaida kwa wafanya biashara wanao agiza nje kuwa na visingizio mbali mbali
Njoo DM boss.
 
Back
Top Bottom