Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda Uswiss,kuliko kuwa na fursa zote za utaliina safe heaven kwa wanaokula kwa urefu wa kamba🤗Wakuu baada ya kutoka Dubai mwezi wa 6 Sasa nataka Kwa mara nyingine nikatulize akili South Africa kama wiki 2 hivi wapi panafaa Kwa mapumziko katika hiyo miji miwili niliyoitaja? Johannesburg au Cape Town?
Cape Town , kuna fukwe nzuri sana .
Cape Town au Makurunge kwa kivuzi wabongo banaNipo cape Town kwasasa hapa , pako vizuri 😊
Wakuu baada ya kutoka Dubai mwezi wa 6 Sasa nataka Kwa mara nyingine nikatulize akili South Africa kama wiki 2 hivi wapi panafaa Kwa mapumziko katika hiyo miji miwili niliyoitaja? Johannesburg au Cape Town?
Mkuu shukrani kwa ushauri. Nimechagua CPTYani baridi iliyopo Johanesburg kwa Sasa ni kali kupita zote unazojua za bongo.
Kuzidi iliyopo Lushoto kwa sasa kama umeshahi kuwa Lushoto majira haya husuda mwezi Juni to August.
Bombay hata bongo unapigwa vizuriwe kuwa na michuzi kwanza, bongo tu hapa hapa unaishi fresh uko kwa madiba utaenda pigwa bomba bure 🔫🔫
Siunajuwa wa Afrika kusini walivyowabaguzi.Bombay hata bongo unapigwa vizuri
Wasauz wabaguzi haswaSiunajuwa wa Afrika kusini walivyowabaguzi.
Bongo ukipigwa shaba kuna sababu (tuweke ujambazi na siasa pembeni)
Sema tu wake za watuSiunajuwa wa Afrika kusini walivyowabaguzi.
Bongo ukipigwa shaba kuna sababu (tuweke ujambazi na siasa pembeni)