Kidawa_hiphop
Senior Member
- Jul 7, 2018
- 184
- 274
Sema tu huna hela.Wakuu nataka nitoke na mtu kesho naomba kuelekezwa wapi nitapata best experience kwa hapa Mwanza,isiwe indoor sana.
Town kabisaMwanza ipi mkuu
Go F yourselfKama huyo manzi anajitambua, mpeleke sehemu wanakouza supu ya pweza, vichwa vya kuku, utumbo na miguu yake yani maeneo ya namna hiyo huwa hawazingui kama kweli anakupenda, usijaribu kujipandisha kuzidi uwezo wako
Dada Kidawa em kunywa maji mengi na uhakikishe ni masafi na salama upunguze kisirani πGo F yourself