Kuchagua sehemu ya kuishi kunategemea mambo mengi tu muhimu kama vile wapi ofisi yako ipo, huduma zako muhimu kama hospital, soko nk unapata wapi. Ni vigumu mtu kusema ama kushauri ukae hapa ama pale ilhali hujaweka bayana baadhi ya mambo, una familia, uko kivyako vyako nk. Mi maoni yangu hiyo njia ya Banana sijui Ukonga mpaka Pugu, mmh, labda uwe unajenga na umeamua kuishi kwako. Lakini kwa kupanga... sijui