Joseph Kasa-Vubu
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 356
- 550
Upo serious au una-test gear?Kesho kutwa nina safari ya kwenda Shirati mkoa wa Mara, wakati wa kurudi nitapita Mwanza kwa mapumziko ya siku mbili. Kipindi cha nyuma Villa Park na Dv8 zilikuwa π₯π₯π₯. Kwa wana Mwanza ni kiwanja gani kinachobamba kwa sasa?
The Cask, Bucket, Diamond, Hakiimi, TunzaKesho kutwa nina safari ya kwenda Shirati mkoa wa Mara, wakati wa kurudi nitapita Mwanza kwa mapumziko ya siku mbili. Kipindi cha nyuma Villa Park na Dv8 zilikuwa π₯π₯π₯. Kwa wana Mwanza ni kiwanja gani kinachobamba kwa sasa?
Kesho kutwa nina safari ya kwenda Shirati mkoa wa Mara, wakati wa kurudi nitapita Mwanza kwa mapumziko ya siku mbili. Kipindi cha nyuma Villa Park na Dv8 zilikuwa π₯π₯π₯. Kwa wana Mwanza ni kiwanja gani kinachobamba kwa sasa?
stend mpya au ya zamanNyegezi Stendi kwa nyuma mkuu na ccm kilumba kila la kheri mkuu
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
ππ huwa nazunguka The Cask na Diamond ... Dangote katutafutia sana matoto pale dah π π πThe Cask, Bucket, Diamond, Hakiimi, Tunza
πππYani pale kuna madem wengi mno lkn Darlin ako na hii taarifa yakoππ huwa nazunguka The Cask na Diamond ... Dangote katutafutia sana matoto pale dah π π π
ππ huwa nazunguka The Cask na Diamond ... Dangote katutafutia sana matoto pale dah π π π
Washamba sana.Darlin ni dada wangu tu, .. ila sasa wademu wa pale washamba japo wazuri kinoma kuliko hata wa dar wana mitako hiyo laini hadi raha.. ila kila mmoja nimetoka dar hapa nimekuja kwa ndugu au mishe mishe ππππ
πππππ mwanza pazuri sana ila.. nikija itabidi uwe mwenyeji wangu tukakesha mahala tupige vyombo hadi majogooWashamba sana.
Me mtaa naoishi ikifika jion kuna ka pub hivi hua naenda kushtua siku moja moja eeeh hua wanapita na boda acha kabisa. Alaf nkishuka daimond wanakua wengi nikijaziwa meza wanakuja ety mdg angu nipe moja ya kuzugia.
Me hua nawaambia wachukueni kabisa hao ni rfk zangu tu
πππππ mwanza pazuri sana ila.. nikija itabidi uwe mwenyeji wangu tukakesha mahala tupige vyombo hadi majogoo
Enjoy zako mwayaπDarlin ni dada wangu tu, .. ila sasa wademu wa pale washamba japo wazuri kinoma kuliko hata wa dar wana mitako hiyo laini hadi raha.. ila kila mmoja nimetoka dar hapa nimekuja kwa ndugu au mishe mishe ππππ