Wapi Ubongo interchange, Tahara flyover(pole tazara)...Tz never takes projects seriously

Tuvamieni muone tutawafurusha hadi Ethiopia na S Sudan, leteni uchokozi mtakiona kipigo mtakachopata
Tanzania Haina Military experience yeyote.. Infact Tunaweza wacolonize tukitaka... Sisi ni kenya bana[emoji23] [emoji23] [emoji23] Hatupigani VITA za Booshmen.. KUJENI na hio Majimaji yenyu ndio Mtajuta
 
Hao wahuni wa Somalia hawajui hata kupigana vita wanawaangaisha miaka zaidi 6 sasa hafu mnajiona eti mnajeshi bora nyie mna bora jeshi na huko hamtakuja kushinda
 
Did you ask about ubungo interchanges? World Bank president put the foundation stone so get assured, now is demolition of some buildings along the project area and relocate gas pipeline, water pipeline, electric lines and other infrastruture to pave the way its not easy task so shut up
 
Hao wahuni wa Somalia hawajui hata kupigana vita wanawaangaisha miaka zaidi 6 sasa hafu mnajiona eti mnajeshi bora nyie mna bora jeshi na huko hamtakuja kushinda
Fikeni Somalia BASI Kama nyinyi Ni wanaume!.. Ikiwa USA UMELEMEWA itakua Hio LDC yenyu ya wanamgambo... AL shabaab Iko na link na Alqaida na Isis... KUJENI Na hizo Bodaboda zenyu Huku Ndio Mjue VITA Ni nini na hii UZEMBE na Yoga Yenyu? Huko ni Kufa Lazima Ujitolee Kufa Bratha sio VITA ya Mapanga na Na jembe
 
Hapa kwa kuzindua na kuweka jiwe mnatuzidi sana...congratuleshen.
 
You shit got swallow your spit.

Ni suala la muda tu subiri uone zinavyonyanyuka. Bakini na ufisadi wenu sisi tunasonga mbele
 
Hao wahuni wa Somalia hawajui hata kupigana vita wanawaangaisha miaka zaidi 6 sasa hafu mnajiona eti mnajeshi bora nyie mna bora jeshi na huko hamtakuja kushinda
Sahii Somalia Ni Dead Zone Only The Best Militaries ndio Ziko Huko... Already Kenya Imekomboa Kismayu Na kwa sasa jeshi letu Ndio Ina control hio port.. Kama Nyinyi ni wanaume Jaribuni Kuingia Hii VITA alafu Tuone... Kazi ya jeshi lenyu Ni show ground si kwa battle field.. Wanajeshi wenyu Hakuna VITA washai pigana alafu Mnajiita Comandos[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji13]
 
Jaman interchange ya DONGO KUNDU.....nataka nije nipigie picha hilo eneo. I hope kuna bango limeandikwa DONGO KUNDU!
 
Hawa watu midomo tu ndo wanazo. Hawaezi anything. East Africa imepeleka majeshi Somalia except their weak display force. Haina experience yoyote. Huko wakienda wanaisha in one day
 
Hao wahuni wa Somalia hawajui hata kupigana vita wanawaangaisha miaka zaidi 6 sasa hafu mnajiona eti mnajeshi bora nyie mna bora jeshi na huko hamtakuja kushinda
Kwanza Tanzania Haina Jeshi na Unapiga mdomo hapa... We are the 6th Best Military in Africa na TZ Haiko hata Top 10 this year
 
In military ranking tumewaacha nyuma. Hawafikii Kenya. Kama ni wanaume wapeleke jeshi Somalia
 
You shit got swallow your spit.

Ni suala la muda tu subiri uone zinavyonyanyuka. Bakini na ufisadi wenu sisi tunasonga mbele
 
Hao wahuni wa Somalia hawajui hata kupigana vita wanawaangaisha miaka zaidi 6 sasa hafu mnajiona eti mnajeshi bora nyie mna bora jeshi na huko hamtakuja kushinda
Fala sana. Kama US ilitoka huko.... Then kuna vita vingi vimepiganiwa miaka zaidi ya hiyo sita unaongelea
 
Bravo Kenyans.
Magufuli is there for his own interest and his allies plus sukumas.
He is doing nothing rather than oppressing oppositions and he ate 1.5 trilion tz shillings and this is a big history in Tanzania’s thief.

You cant compare Magufuli and Uhuru.

Magufuli you can compare him with Nkurunzinza not even kagame.

Tanzanians are lost.
 
Heri Kenya Corruption ZIKIFANYIKA Tunatangaza na kuchunguza KULIKO Countries zingine Pesa inaibwa kisiri huku wakijigamba vile How the are not corrupt na Ikifika kwa GDP wanalalamika Kenya iko na cooked data
 
Kenya kanchi kadogo sana ukiangalia eneo lenu ni hata nusu ya Tz hamfikii ujue hapo tukijenga miundombinu ya Barbara na Reli ni marambili ya nyie mnayojenga

Very poor excuse!
Hata tourism centers zao ni chache kuliko zetu,
Na mineral centers zao ni chache kuliko zetu,
Hata vyanzo vya kodi vyao ni vichache kuliko vyetu!
Productive land yao ni ndogo kuliko zetu!

Kenyan economy is too giant to compare to ours!
 
Hawa watu midomo tu ndo wanazo. Hawaezi anything. East Africa imepeleka majeshi Somalia except their weak display force. Haina experience yoyote. Huko wakienda wanaisha in one day
Kwanza naskia Kikwete alikataa akisema Hawataki Kufa.. Hio ni Uoga... Wengine East Africa wako Vita inchi Kama Ethiopia, Uganda na Somalia wrote tuko Huko How comes Tz na hio Porojo na Udaku yao yooteh hawako Somalia... Hii ni Country ya Wazembe.. Kwa sports Hawako, Military Hawako, Economy pia Hawako ni nini watawahi FANYA ya Maana East Africa
 

Hivyo vita huwa mnaimba imba vya kuficha uzembe wenu nchi imebaki maskini miaka yote, kwani nyie pekee yenu ndio duniani mumewahi kupigana, kuna mataifa yalipigana nusra yafutwe duniani lakini leo hii yanaongoza kiuchumi. Je mngekua kama Israeli ambao wamewahi kuvamia na nchi sita kwa mpigo.

Kinachowasumbua ni uzembe na uvivu ulioletwa na mfumo ovyo wa ujamaa, mpo mpo tu ilmradi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…