Wapi viota vizuri kwa makutano?

Wapi viota vizuri kwa makutano?

Nchi Kavu

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2010
Posts
4,290
Reaction score
2,468
Hope mu wazima. Kwa sie wakongwe ni wapi viota vizuri vya kubarizi? Wakati mwingine katika umri huu kuanzia miaka 35 na kuendelea bila kubagua jinsia tunahitaji tena kurichaji mbongo zetu tunapokutana na watu wapya ili kuyajenga pia. Maeneo mazuri ya burudani ni wapi?
 
Kila mchangiaji ajibu kulingana na eneo alipo au analolijua lolote?!!
 
Mi nipo kibanda umiza hapa kawe mwisho! Company plse...
 
Nitafika bila shaka. Kuna bendi gani hapo. Zinapiga lini na lini
 
Uje sunset huku lumo leo nimepaki basi hapa nikimalizia sherehe za miaka 60 ya kutawaliwa na mkoloni mweusi
 
Back
Top Bottom