second lady
Member
- Mar 24, 2021
- 43
- 19
Niliweka mwanzo JF wakafuta post yanguHebu weka picha na bei basi maana hata humu unaweza pata mteja
Niliweka mwanzo jf wakafuta post yangu
Nahofia wasije wakafuta tenaHebu weka picha na bei basi maana hata humu unaweza pata mteja
Nahofia wasije wakafuta tena
Hata mimi sikujua sababu ilikua niniSijajua kwanini waliifuta
I hope hawataondoa
Wapi hpo?Nenda ka pawn pale Shanga Arusha Coffee Lodge.
Acha tu binamu....nauguza hali teteMbona wauza pete?
Inamaana hujasoma nilochoandika au?Wapi hpo?
Sio mgogoro changamoto za maishaNimekununulia ila kwasababu tuna mgogoro wa mahusiano unataka kuuza sawa tu
Pole mpendwaAcha tu binamu....nauguza hali tete
Nimesoma sijaelewa tu vzuriInamaana hujasoma nilochoandika au?
Aliyekununulia anajua unataka kuuza?Sio mgogoro changamoto za maisha
Ndiyo tupo pamoja kweny changamoto tumekubaliana tuuzeAliyekununulia anajua unataka kuuza??
Ndio ni Arusha.Nimesoma sijaelewa tu vzuri
Ni Arusha?
Okay asanteNdio ni Arusha.