KUDOLE CHA MWISHO
JF-Expert Member
- Aug 13, 2017
- 407
- 892
Poanjoo pm
Hata mimi sikujua sababu ilikua nini
But I hope hii hawatofuta
Dah! Nisamehe mimi ndugu yangu [emoji120]Ndio ni Arusha.
Unashindwa kuelewa vizuri kwasababu wewe wenyewe hauandiki vizuri. Rekebisha uandishi wako ni wa kitoto sana.
Asante sana ndugu yanguAll the best dear
Hope you will sell it
Kwa sonara utapata bei nzuri tu
Bei nzuri? uendee kwa sonara unauza kitu unashida harafu akupe bei nzuri!!All the best dear
Hope you will sell it
Kwa sonara utapata bei nzuri tu
Ni genuine maana ilikua kubwa ikabd niende dukani aliponunua wapunguze size kule posta mtaa wa indira gandhiKwanza ni genuine kweli? Alafu pili aliyekupa au kukununulia unamwamini? maana usikute ni FAMBANANGAY kama wakongomani wanavyosema?
Ni genuine maana ilikua kubwa ikabd niende dukani aliponunua wapunguze size kule posta mtaa wa indira gandhi
Wamesema hawanunui wanaexchange tuIndira gandhi hawanunui? Hiyo [emoji183] ni size gani, wewe wauzaje tuone namna
Uko wap tunaweza kuonanaIndira gandhi hawanunui? Hiyo [emoji183] ni size gani, wewe wauzaje tuone namna
Umenunua bei gan??View attachment 1846865
Yangu na full Diamond
Bei nzuri? uendee kwa sonara unauza kitu unashida harafu akupe bei nzuri!!
2MSema bei
Bai ya starlet!
Wenye iphone nao wasemeje mke watoto wote wamenunuliwa 😂😂Bai ya starlet!