WAPi WANASUKA HIVI??

WAPi WANASUKA HIVI??

Boflo

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2010
Posts
4,383
Reaction score
4,412
wajemeni wapi wanasuka hivi nataka kumpeleka mke wangu... lolcopter7ro.gif
 
Nenda Banana Dsm Kuna saloon moja yupo papaa mmoja anasuka hivyo.
 
hayo mapanga ya helicopter wanaweza kuyaweka?

aaah nakwambia kamuulizie msusi mmoja hivi anaitwa Felista, utafurahi mwenyewe, mkeo kichwa kitakuwa kama helkopta ya Mbowe
 
aaah nakwambia kamuulizie msusi mmoja hivi anaitwa Felista, utafurahi mwenyewe, mkeo kichwa kitakuwa kama helkopta ya Mbowe

siyo ya mbowe ni ya Ndesamburo a.k.a ndesa pesa:gossip:
 
Mzee Bwabwa umezama kwenye mitindo tena??
 
Mnaenda shughulini mahali au anarudi nyumbani kulala? manake sijui kichwa atakiweka kwenye nini ili style isitibuke!
 
kakuchekesha kusema mke wangu au? halafu leo mkesha upo kawe?

mkesha wapi ha haaaaa,wewe na BHT mmenichekesha ujue,eti kama helikopta ya mbowe ha ha haaaaaaaaaaaaa
 
@roselyn huko 'rehab' unafanza nini tena?
 
sweetheart we angalia tu vizuri hayo mabawa kichwani....itasaidia na hizi foleni mtu anapaa zake eeeeeeeeasy!!![/QUOTE]

ha haaaa haaa unazidi kuniua....
 
sweetheart we angalia tu vizuri hayo mabawa kichwani....itasaidia na hizi foleni mtu anapaa zake eeeeeeeeasy!!!

ha haaaa haaa unazidi kuniua....[/QUOTE]

sheka mama, maisha ni mafupi sana, am happy I have made u laugh!!!!

ndio nimetoka dear nitakueleza siku nyengine!,

sawa mpendwa.....
 
Bora huko kuliko kwa Wamasai maana nasikia hawavai kitu ni lubega tu sasa mkeo akisukwa anamsogeza katikati ya mapaja kazi kwako ...(itaendelea kesho)
 
Back
Top Bottom