Wapi wanatengeneza rough dreads Dar es Salaam

Wapi wanatengeneza rough dreads Dar es Salaam

lady Jay

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2016
Posts
529
Reaction score
655
Habari zenu wapendwa, poleni na kazi na mihangaiko.

Niko Dar, naomba mnisaide kuniambia sehemu nzuri ambako wanatengeneza rough dreads vizuri sana.

Natanguliza shukrani.
 
Habari zenu wapendwa, poleni na kazi na mihangaiko.

Niko Dar, naomba mnisaide kuniambia sehemu nzuri ambako wanatengeneza rough dreads vizuri sana.

Natanguliza shukrani.
Kinondoni B pale kuna saloon moja ina michoro ya kijamaica wako poa nampelekaga my cousin
 
Ukiwa na mafuta yako rahisi tu kujitengeneza mwenywe siku nisipoenda saloon najitengeneza mwenywe
 
Habari zenu wapendwa, poleni na kazi na mihangaiko.

Niko Dar, naomba mnisaide kuniambia sehemu nzuri ambako wanatengeneza rough dreads vizuri sana.

Natanguliza shukrani.

saloon nyingi wanatengeza ila kama una short hair
bora ununue mafuta na ile sponge unatengeneza mwenywe na pia
unasave pesa. sponge 40,000tzs na mafuta 25,0000 na vinakaa muda mrefu
wakati ukienda saloon ni 15,000 hadi 20,000 na inabidi uwe unaenda mara kwa mara

team roughdread
 
Nenda mwenge pale karibu na kituo cha mpakani kwenye jengo la Tanzanite kuna salon inaitwa Kareem dreads au sinza kumekucha kwa Fita....
 
Nenda kwa Aristote Morocco. Ni mkali wa hizo kazi
 
saloon nyingi wanatengeza ila kama una short hair
bora ununue mafuta na ile sponge unatengeneza mwenywe na pia
unasave pesa. sponge 40,000tzs na mafuta 25,0000 na vinakaa muda mrefu
wakati ukienda saloon ni 15,000 hadi 20,000 na inabidi uwe unaenda mara kwa mara

team roughdread
SORRY unawez kunitajia mafuta yaku tengenezea rough dread
 
Hivi inawezekana kutengeneza dreads nkakaa nazo miezi mmoja au zaidi baadae nikarudia kuchana Nywele zangu kama kawaida bila kunyoa.
 
Back
Top Bottom