Wapi wanatengeneza toroli or wanauza food carts kama hili

Wapi wanatengeneza toroli or wanauza food carts kama hili

Akotia

JF-Expert Member
Joined
Dec 16, 2016
Posts
528
Reaction score
1,241
IMG_2858.jpeg
 
Ukisearch food cart utachelewa ingia Facebook marketplace search kabati la chips yatakuja fasta tu. Bei 100,000 hadi 300,000 kutegemea na ukubwa

 
Ukisearch food cart utachelewa ingia Facebook marketplace search kabati la chips yatakuja fasta tu. Bei 100,000 hadi 300,000 kutegemea na ukubwa

Jibu hilo hapo. Nimekustahi kukujibu ulicho andika hapo Akotia
 
hicho kitoroli chenye tairi 4 ninacho nilikuwa nauzia popcorn hilo kabati unatengeneza tu kwa mafundi wa aluminium
 
Nataka hizo kachori, sambusa, vitumbua, eggchop, soseji na mikate ya maji.
 
hicho kitoroli chenye tairi 4 ninacho nilikuwa nauzia popcorn hilo kabati unatengeneza tu kwa mafundi wa aluminium
Kama unacho ulitengeneza wapi? Na bei gani? Na cha kwako unakiuza?
 
Back
Top Bottom