Wapi zaidi kati ya Mbinga na Karatu

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2012
Posts
14,588
Reaction score
32,361
Nimeona kuna ligi ya kupambanisha miji humu JF. Leo nimeona nije na hii miji miwili midogo. Karatu iliyoko Kaskazini mwa Tanzania mkoani Arusha na mji wa Mbinga ulioko kusini mkoani Ruvuma. Sehemu zote mbili nimefika na ninazifahamu. Zinafanana sana kifursa.

Wewe mji upi mkubwa na upo na fursa nyingi zaidi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…