Baba mtata
JF-Expert Member
- Dec 6, 2012
- 280
- 40
Nimegundua humu kuna watoto wa First Year wengi na wale wanaosoma Chuo Cha Maji ndo maana hata hawajadili hoja bali kutukana tu, zaidi hata "EXPOSURE" ni ndogo sana hawajawahi kufika chuo za Zaid ya UDSM bakini na ubishi wenu nitawabana mkija kwenye Interview na kiingereza chenu cha kuunga unga na msio jua kujenga hoja zaidi ya kujua majina ya wachezaji wa ligi za ulaya!!! kwa style hii ya kutokujibu hoja tutaendelea kuwaajiri wakenya mpaka serikalini. nyie mbaki kwenda kuangalia mechi za English Premier League hapo Survey.
Songoro hebu jaribu kufikiria kwa kutumia Akili japo hata mara 1 mtoa mada ameonyesha wasi wasi wake kwa kuona UDSM inakuwa/inajaa wapigadebe vituoni na kuwa na stendi ya boda boda kila eneo na hoja yake ni kuwa ni kama Uongozi haupo makini kiviile, hoja yako kuwa eti wateja ni wasomi hao hao hakuhalalishi matendo haya kwa mfano wasomi ni wateja wakubwa wa Machangudoa wa CORNER BAR/ AMBIANCE so wakija kuranda randa mitaa ya UDSM je nao uongozi uwaache? Ninahisi hata hujui maana ya kuwa na utulivu chuo kikuu Nahisi uliishia level za ZOOM POLYTECHNIC COLLEGE. sorry
Songoro hebu jaribu kufikiria kwa kutumia Akili japo hata mara 1 mtoa mada ameonyesha wasi wasi wake kwa kuona UDSM inakuwa/inajaa wapigadebe vituoni na kuwa na stendi ya boda boda kila eneo na hoja yake ni kuwa ni kama Uongozi haupo makini kiviile, hoja yako kuwa eti wateja ni wasomi hao hao hakuhalalishi matendo haya kwa mfano wasomi ni wateja wakubwa wa Machangudoa wa CORNER BAR/ AMBIANCE so wakija kuranda randa mitaa ya UDSM je nao uongozi uwaache? Ninahisi hata hujui maana ya kuwa na utulivu chuo kikuu Nahisi uliishia level za ZOOM POLYTECHNIC COLLEGE. sorry
Songoro hebu jaribu kufikiria kwa kutumia Akili japo hata mara 1 mtoa mada ameonyesha wasi wasi wake kwa kuona UDSM inakuwa/inajaa wapigadebe vituoni na kuwa na stendi ya boda boda kila eneo na hoja yake ni kuwa ni kama Uongozi haupo makini kiviile, hoja yako kuwa eti wateja ni wasomi hao hao hakuhalalishi matendo haya kwa mfano wasomi ni wateja wakubwa wa Machangudoa wa CORNER BAR/ AMBIANCE so wakija kuranda randa mitaa ya UDSM je nao uongozi uwaache? Ninahisi hata hujui maana ya kuwa na utulivu chuo kikuu Nahisi uliishia level za ZOOM POLYTECHNIC COLLEGE. sorry
Acha uzembe wa kufikiri, hao wasomi si ndo wateja? Boda boda ni wafanyabiashara wanaofata wateja sasa kama wasomi wenyewe hawaoni karaha basi hakuna tatizo pia kumbuka DKT NDUGULILE NA DOCTA MTARAJIWA LOWASSA walisema ni sehemu ya Ajira
Nimegundua humu kuna watoto wa First Year wengi na wale wanaosoma Chuo Cha Maji ndo maana hata hawajadili hoja bali kutukana tu, zaidi hata "EXPOSURE" ni ndogo sana hawajawahi kufika chuo za Zaid ya UDSM bakini na ubishi wenu nitawabana mkija kwenye Interview na kiingereza chenu cha kuunga unga na msio jua kujenga hoja zaidi ya kujua majina ya wachezaji wa ligi za ulaya!!! kwa style hii ya kutokujibu hoja tutaendelea kuwaajiri wakenya mpaka serikalini. nyie mbaki kwenda kuangalia mechi za English Premier League hapo Survey.