Tetesi: Wapiga dili wa CCM wajiandaa

Tetesi: Wapiga dili wa CCM wajiandaa

Goliath mfalamagoha

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2012
Posts
602
Reaction score
2,506
TETESI.

Makundi ya wapiga deal ndani ya ccm hawana furaha juu ya uendeshaji wa serikali unaofanywa na magufuli.

Ndio maana yeye kasema amewasikia mawaziri wakimsema sema kuhusu packee.

Wanadai anaweza kutokupewa uenyekiti wa ccm au kumpiga zengwe aondolewe asigombee urais ungwe ijayo.

Survival of the fittest akizubaa watamtumbua.
 
Back
Top Bottom