Wapiga punyeto ni wauaji wa vizazi na vizazi

torvic

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2016
Posts
3,978
Reaction score
9,841
kama wewe kidume unapiga, puchu, master b, punyeto, pully, unajisugua, unajichua, na staili nyingne zote za dizain iyo...
basi tambua kwamba hauna tofauti na mwanamke anayetoa mimba
ebu vuta picha ni watoto wangapi wamekatishiwa maisha yao kwa kuishia kwenye sakafu au kwenye sink la toilet,
kwa mpiga puchu aliyebobe na kazi yake anausanifu wote wa kazi kwa makadilio ya haraka haraka ameua vitoto kama elfu tano ivi na u.she.nzi....
hizi taarifa naomba zimfikie mwenyekit, katibu na washirika wote wa chama CHAPUTA, wajue tu kwamba wana generation kubwa sana iliyoangamia kwa kutumia viganja vyao vya mikono


nawasilisha;
 
Mayai 5000 na ushenzi kwani yote yangeenda kutunga mimba si moja tu? Kwanini unataka kukuza kesi?

Nina tofauti gani na anayetumia kondomu?

Nina tofauti gani na anayemwaga nje?

Nina tofauti gani na anayepata ndoto nyevu kila siku?

Umetuona sisi tu?

By;
Msemaji wa CHAPUTA
 
Mpec kavu huyo. Kwani mbegu zote ndio hua zinafanya kazi si moja tu
 
We kichwa boksi kweli,anayetoa sperm anakuwaje muuaji?.
Sperm bila union na ovum bado si kiumbe hai.
Ni tofauti na mdada aliyetoa mimba ni tofauti na mtoa sperm kwasababu mimba ni matokeo ya muungano wa sperm na ovum kufanya kiumbe hai.
Kwa dhana yako hiyo,mtu akitumia kondom nao ni uuaji?.
Mtu akipata wet dreams akapiga bao,pia ni uuaji.
Biology yako inamatatizo iboreshe.
 
mkuu biology yako itakua na shida kidogo......single ejaculation ina sperm more than 20 mil lakini moja tu ndio inafertelize egg...ww ulshawahi kumuona mtu asiyepiga punyeto kazaa watoto mil 20...basi kila mtu atakua muuaji maana kati ya sperm mil 20 inatumika moja na zilizobaki zinakufa...
hivyo basi na wewe ni muuaji kama wapiga punyeto tu
 
Hesabu fake hiyo. Leta mada nyingjne. Puchi ina athari kwa mpigaji na sio uuaji wa watoto
 
Mimi ni form2 feliazi lakini namshinda mtoa mada uelewa wa Biology
 
hahahahah.... hu huuu huu!!!! naona wenye fani zenu na chama chenu CHAPUTA mnajitetea kama bashite na msala wake
 
mwambie huyo


by deputy secretary
 
Acha uongo, kama mtu unaota unagongana ucku unachia vitu na Mpiga puchu , Mpiga kwa domu, Mpiga demu na asipate mimba kwa kwani kuna tofauti gani sasa, porojo tu izo acha apunguze mizuka
 
Mara nyingi huwa nasema kazi ya makalio ni kukalia lakini naona kuna wanaokaidi kwa kuyatumia kama thinking machine......
 
Safi jibu zuri.
 

πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€mkuu anawaonea bure tu
 
Ujiunge tu na chaputa mtoa mada ufurahie ulimwengu maridhawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…