Wapiga ramli na wachambuzi uchwara, mbona siwaoni mkiitisha Simba?

Wapiga ramli na wachambuzi uchwara, mbona siwaoni mkiitisha Simba?

kibaravumba

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2012
Posts
6,634
Reaction score
7,015
Tumewazoea kwa ramli zenu dhidi ya mnyama na uchambuzi uchwara ambao hatuusilkii sana sasa hivi ya kuwa simba ni wazee. Badala yake mmeanza kampeni ya kuililia Simba iwape mikataba minono hao hao mliokuwa mnawaita wazee.

Najua mmekula mlungura kutoka upande wa pili ili mcheze mind game against Simba, lakini safari hii nawaambia mmekwama, vilaza wakubwa nyie mshukuru Google na YouTube, vinginevyo mngekuwa wakulima wa matikiti.
 
Juzi nilikuwa namuuliza jamaa yangu kama ile sheria ya kuwa na Diploma ya Uandishi wa Habari inawahusu hata radio na TV presenters, akasema inawahusu. Kwa hiyo kuna wimbi kubwa la watangazaji waliojiita waandishi wa habari litapukutika baada ya Disemba 31
 
Back
Top Bottom