Soma tena umwelewesasa upinzani ndio ulikuwa madarakani?
Point yako haswa ni ipi madam?Hivi hii ndio report ya kwanza ya CAG kwa nchi hii?
Haki watu wanahemka mnoooooo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jiwe angekuwa hai CAG angetoa hii report?Ukiangalia trend za majadiliano mitandaoni utaona dhahiri watanzania wameingia ubaridi toka jana ilipotoka taarifa ya Dr Abbas kukanganya na kufuatiwa na ya Msigwa kufafanua vyombo vipi vya habari vifunguliwe._
Jambo lililovurugika zaidi Waziri mwenye dhamana alipoomba wamiliki wa magazeti wafike wizarani waone vifungu vikivyotumika kuwafungia--Hii iliongeza ubaridi na ganzi kuwa Wizara yenyewe ni kama haijui vifungu vipi vilitumika.
Mbaya zaidi ni kuonekana Magazeti yenye uchafu mwingi na matusi yaitwayo Tanzanites,Fahari na The Observer yakiendelea kutamba bila hata maonyo...
Habari hiyo iliendelezwa na habari mbaya ikionyesha mteule wa Rais DC wa Hai akiendesha operations za uvamizi na utesaji wa raia, wafanyabiashara,wanasiasa wa upinzani hadi wengine kujeruhiwa vibaya na kukatwa viungo vya mwilini.Video nyingine ilionyesha RC wa Kilimanjaro akikemea matendo hayo mkutanoni lakini DC husika akionekana kumtazama RC kwa jicho la dharau kama vile kutokubaliana na alichoambiwa.
Ganzi na ubaridi vimeongezeka leo baada ya ripoti ya CAG kusomwa Bungeni na kuamsha hisia kali kwa wananchi baada ya kujua ni kiasi gani walikuwa wanapigwa fedha za umma na kuhadaiwa katika serikali waliyoaminishwa ni salama na kuwa ina nidhamu na uadilifu kwa watumishi wake.
Haya ni madoa meusi katika kitambaa cheupe! Furaha ya mapokeo ya hotuba ya Mh Raisi siku ya Jumanne wakati wa uapisho wa Makatibu Wakuu na Wakuu wa Taasisi za umma imeingia dosari.
Yetu macho na masikio kuona uongozi mpya utayakabili vipi haya madoa ili furaha na matumaini ya Watanzania yarejee..Inaweza kuwa ni mapema kupiga vigelegele iwapo dosari hizi zitafumbiwa macho
SINA MIWANI KIJANA WANGUSoma tena umwelewe
angetoa na isingesomwa maana mwezi huu kilikuwa kikao maalum cha kumuongezea muda JIWEJiwe angekuwa hai CAG angetoa hii report?
🤣🤣🤣🤣Siku hizi unacoment kwa aibu na kinyonge sana madam Sukuma GANG
Huyu mama analakujifunza hapaangetoa na isingesomwa maana mwezi huu kilikuwa kikao maalum cha kumuongezea muda JIWE
hakika wapinzani waliharibu nchi hongera mwana fasihiUkiangalia trend za majadiliano mitandaoni utaona dhahiri watanzania wameingia ubaridi toka jana ilipotoka taarifa ya Dr Abbas kukanganya na kufuatiwa na ya Msigwa kufafanua vyombo vipi vya habari vifunguliwe._
Jambo lililovurugika zaidi Waziri mwenye dhamana alipoomba wamiliki wa magazeti wafike wizarani waone vifungu vikivyotumika kuwafungia--Hii iliongeza ubaridi na ganzi kuwa Wizara yenyewe ni kama haijui vifungu vipi vilitumika.
Mbaya zaidi ni kuonekana Magazeti yenye uchafu mwingi na matusi yaitwayo Tanzanites,Fahari na The Observer yakiendelea kutamba bila hata maonyo...
Habari hiyo iliendelezwa na habari mbaya ikionyesha mteule wa Rais DC wa Hai akiendesha operations za uvamizi na utesaji wa raia, wafanyabiashara,wanasiasa wa upinzani hadi wengine kujeruhiwa vibaya na kukatwa viungo vya mwilini.Video nyingine ilionyesha RC wa Kilimanjaro akikemea matendo hayo mkutanoni lakini DC husika akionekana kumtazama RC kwa jicho la dharau kama vile kutokubaliana na alichoambiwa.
Ganzi na ubaridi vimeongezeka leo baada ya ripoti ya CAG kusomwa Bungeni na kuamsha hisia kali kwa wananchi baada ya kujua ni kiasi gani walikuwa wanapigwa fedha za umma na kuhadaiwa katika serikali waliyoaminishwa ni salama na kuwa ina nidhamu na uadilifu kwa watumishi wake.
Haya ni madoa meusi katika kitambaa cheupe! Furaha ya mapokeo ya hotuba ya Mh Raisi siku ya Jumanne wakati wa uapisho wa Makatibu Wakuu na Wakuu wa Taasisi za umma imeingia dosari.
Yetu macho na masikio kuona uongozi mpya utayakabili vipi haya madoa ili furaha na matumaini ya Watanzania yarejee..Inaweza kuwa ni mapema kupiga vigelegele iwapo dosari hizi zitafumbiwa macho
CCM ufisadi kwao ni mfumo, waliiba toka mwaka 1961, wameingia madarakani kwa wizi na hawataki kutoka, ila mwaka 2020 ndio wakaiba mchana saa sita nanusu jua la utosi, wapinzani msitegemee kwabunge hili hiyo ripoti ikafanya kitu, kigwangala ni mbunge na ameiba sana, Babu Tale wa WASAFi yupo kwenye ufisadi na pale bungeni yupo, karibu kila fisadi yupo Bungeni na walikuwa wamejipanga kwa kupitisha urais wa maisha w a jiwe , sasa haya mambo ya CAG yamewashusha chupi kabusa, hawana pa kutokea lakini tusitarajie mapyaIlani ya ccm 2020 - 2025 inasema tutaendelea kupambana na rushwa na ufisadi kwa nguvu zote.
Haisemi ufisadi umeisha.
Hata Ulaya kina Morinyo, Messi, Ronaldo mara kwa mara tunasikia aamepelekwa mahakamani kwa kukwepa kodi.
Hata Chadema wabunge wengi walihama mwaka jana sababu ya ufisadi michango yao. Kinachotakiwa ni kuendelea kupambana na ufisadi
Hakuna ninachokataaTuliaa!! Je report unakubaliana nayo? Kama unakubaliana nayo ni vzr kujifunza kwaajil ya cku nyingine. Miluzi na vigelegele muache mara moja.
jiwe akaongeza na jaji mkuu na wapwa zake akina DottoShida ya mfumo mtumishi wa umma(Rais, Makamu, PM, Supuka na Naibu Supuka) kutoshitakiwa ni kosa kubwa sn
Ile mahakama imekosa watu wa kuwashitaki na kuwatia hatiani kwa sababu inaendeshwa na wapinzani hasa CHADEMAna kweli kwa huu uozo,wapinzan4 wanastahili kupelekwa mahakama ya mafisadi
Surejiwe akaongeza na jaji mkuu na wapwa zake akina Dotto
Nimehamia huku kutoka wapi nilipokua mkuu?Umehamia huku? 😂 Hakika una moyo!
Una roho ngumu sana Madam, OPEN YOUR EYES!!! Mwendazake Ametuchezea sana.
hukuNimehamia huku kutoka wapi nilipokua mkuu?