Wapinzani tukimaliza kulalamika tuje na solution tunafanyaje

Wapinzani tukimaliza kulalamika tuje na solution tunafanyaje

happyxxx

JF-Expert Member
Joined
Nov 14, 2020
Posts
604
Reaction score
1,970
Baada ya kupogwa vibaya tena na tena na ccm kazi inayofata ni kulalamika kama ilivyo jadi yetu.

Baada ya hapo sasa twende kwenye point ya msingi ambayo mbowe haitaki ya tunafanyaje nani awajibike?hapo ndio pagumu.

Nimemaliza uzi
 
Back
Top Bottom