Wapinzani wa nchi hii Uchaguzi huru na haki ni mpaka nyie mshinde? ACT- Wazalendo Konde mmeshinda kwa Tume gani ya Uchaguzi?

Sikweli kwamba Mbowe anasingiziwa,

Nadhani tuiache mahakama itatoa majibu
Ameshasingiziwa mangapi hata hilo liwe jipya?
Kama kweli mnaami kwamba ccm inakubalika mnaogopa nn katiba mpya na tume huru ya uchaguzi??? Si mkubali maana mna uhakika wa kushinda na kusikia dola miaka 1000 ijayo??
Mnaogopa SACCOSS??
 
14|10|2021

Rais Samia atakuwa Chato kwenye kuzima Mwenge

Sherehe zitafanyika Uwanja wa Magufuli,

Karibu sana njoo Uungane na Rais wako,


_________________
 
Ccm ni wezi wa kura
Zanzibar Kode wezi walikufa?


14|10|2021

Rais Samia atakuwa Chato kwenye kuzima Mwenge

Sherehe zitafanyika Uwanja wa Magufuli,

Karibu sana njoo Uungane na Rais wako,


_________________
 
Zanzibar Kode wezi walikufa?


14|10|2021

Rais Samia atakuwa Chato kwenye kuzima Mwenge

Sherehe zitafanyika Uwanja wa Magufuli,

Karibu sana njoo Uungane na Rais wako,


_________________
Wiki ya vijana malamba viatu????
Mnaitangazia dunia juu ya wiki ya vijana huku vijana wanabaguliwa kwenye ajira? (Rejea kauli ya simbachewene ITV)
Karne ya 21 iliyojaa technology bado mnategemea kulinda mabank kwa virungu????
Tuambieni Tija ya hiyo wiki ya vijana huku vijana wasomi wakibobea kwenye MUZIKI,POMBE, POOL TABLE Na KUBASHIRI KAMARI.......
 

ZANZIBAR WAKO MBELE SANA HUWEZI FANANISHA NA BARA......ZANZIBAR WAKIACHWA WAJIAMULIE WENYEWE WANA MAMBO YAO MAZURI NA YA UPENDO NA MISIMAMO ......ILA CCM BARA TUMEINGIZA MIPANDIKIZI KULE JAPO WAO WENYEWE SOMETIMES WANAFURUKUTA KUPAMBANA NA HII TABIA NDO MAANA SOMETIMES WANAONA HAYA KUPAMBANA NA FUKUTO ZA WAZANZIBARI WAZIWAZI...SO WAKOLONI WA BARA WANAKUWA WAPOLE BAADHI YA VITU
 
Kwani Zanzibar ni nchi gani mkuu?
 

 

ACHENE KUISHI THE PAST WAZEE
 
Tatizo mnatukana sana
 
2010 wapigakura walikuwa asilimia ngapi ya waliojiandikisha

Haifahamiki maana idadi ya kujiandikisha ilikuwa ya kupika, na hata waliopiga kura bado idadi ilipikwa. Na sababu hiyo hata kwenye tovuti ya tume ya uchaguzi wameogopa kuweka matokeo ya uchaguzi wa ule.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…