Wapinzani wa Uber & Bolt wanaokuja: Waymo & Tesla

Wapinzani wa Uber & Bolt wanaokuja: Waymo & Tesla

Mad Max

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
26,961
Reaction score
77,890
Wazee kwema?

Riding sharing Apps zipo nyingi, lakini zilizojizolea umaarufu Tanzania ni Bolt na Uber. Kwa kawaida, dereva anakua na App [Bolt Driver au Uber Driver App] hafu anaitwa na App ya mteja, kisha dereva anaenda kumchukua mteja hadi anapoenda, fresh.

Sasa Waymo [hii ni kampuni ya Google] wamekuja na technology yao ambapo abiria unaita gari na linakuja lenyewe bila dereva. Autonomous Taxi. Usiogope lipo safe.

unnamed.jpg

Chuma inakuja unafungua mlango, una confirm kwa App ukiwa ndani linajua pa kukupeleka kama ukivyoset.

ae541a6c26201556c0504ccd5e45328a.gif


Tesla pia wanakuja na Robotaxi yao wanaiita Cybercab ambayo inafanya kazi ivyo ivyo kama Waymo.

GL4WtR-bYAIpwbz.jpg

Gari ndani itakua haina maneno mengi, steering wheel ya nini wakati we ni abiria.
images (6).jpeg

Washatoa App unaweza download kuanza kufanya mazoezi.

Gari zitakua zinatumia sensors, radar na cameras kuhakikisha usalama wa abiria na watumiaji wengine, na pia zitatumia data za ramani za mitandaoni [Google Maps, Waze, Apple Maps etc] katika navigation.

Kwa nchi zetu, italeta challenge ya ajira, na miundombinu yetu sijui kama zitaweza ila ndio tujiandae kisaikolojia.

Siku njema.
 
Wazee kwema?

Riding sharing Apps zipo nyingi, lakini zilizojizolea umaarufu Tanzania ni Bolt na Uber. Kwa kawaida, dereva anakua na App [Bolt Driver au Uber Driver App] hafu anaitwa na App ya mteja, kisha dereva anaenda kumchukua mteja hadi anapoenda, fresh.

Sasa Waymo [hii ni kampuni ya Google] wamekuja na technology yao ambapo abiria unaita gari na linakuja lenyewe bila dereva. Autonomous Taxi. Usiogope lipo safe.

View attachment 2997993
Chuma inakuja unafungua mlango, una confirm kwa App ukiwa ndani linajua pa kukupeleka kama ukivyoset.

View attachment 2997994

Tesla pia wanakuja na Robotaxi yao wanaiita Cybercab ambayo inafanya kazi ivyo ivyo kama Waymo.

View attachment 2997998
Gari ndani itakua haina maneno mengi, steering wheel ya nini wakati we ni abiria.
View attachment 2997999
Washatoa App unaweza download kuanza kufanya mazoezi.

Gari zitakua zinatumia sensors, radar na cameras kuhakikisha usalama wa abiria na watumiaji wengine, na pia zitatumia data za ramani za mitandaoni [Google Maps, Waze, Apple Maps etc] katika navigation.

Kwa nchi zetu, italeta challenge ya ajira, na miundombinu yetu sijui kama zitaweza ila ndio tujiandae kisaikolojia.

Siku njema.
Hapa kwetu bado sana
 
Wazee kwema?

Riding sharing Apps zipo nyingi, lakini zilizojizolea umaarufu Tanzania ni Bolt na Uber. Kwa kawaida, dereva anakua na App [Bolt Driver au Uber Driver App] hafu anaitwa na App ya mteja, kisha dereva anaenda kumchukua mteja hadi anapoenda, fresh.

Sasa Waymo [hii ni kampuni ya Google] wamekuja na technology yao ambapo abiria unaita gari na linakuja lenyewe bila dereva. Autonomous Taxi. Usiogope lipo safe.

View attachment 2997993
Chuma inakuja unafungua mlango, una confirm kwa App ukiwa ndani linajua pa kukupeleka kama ukivyoset.

View attachment 2997994

Tesla pia wanakuja na Robotaxi yao wanaiita Cybercab ambayo inafanya kazi ivyo ivyo kama Waymo.

View attachment 2997998
Gari ndani itakua haina maneno mengi, steering wheel ya nini wakati we ni abiria.
View attachment 2997999
Washatoa App unaweza download kuanza kufanya mazoezi.

Gari zitakua zinatumia sensors, radar na cameras kuhakikisha usalama wa abiria na watumiaji wengine, na pia zitatumia data za ramani za mitandaoni [Google Maps, Waze, Apple Maps etc] katika navigation.

Kwa nchi zetu, italeta challenge ya ajira, na miundombinu yetu sijui kama zitaweza ila ndio tujiandae kisaikolojia.

Siku njema.
Utawala dhalimunwa CCM umeshindwankabisa kuioangilia miji yetu, hii ni aibu kubwa sana
 
Wazee kwema?

Riding sharing Apps zipo nyingi, lakini zilizojizolea umaarufu Tanzania ni Bolt na Uber. Kwa kawaida, dereva anakua na App [Bolt Driver au Uber Driver App] hafu anaitwa na App ya mteja, kisha dereva anaenda kumchukua mteja hadi anapoenda, fresh.

Sasa Waymo [hii ni kampuni ya Google] wamekuja na technology yao ambapo abiria unaita gari na linakuja lenyewe bila dereva. Autonomous Taxi. Usiogope lipo safe.

View attachment 2997993
Chuma inakuja unafungua mlango, una confirm kwa App ukiwa ndani linajua pa kukupeleka kama ukivyoset.

View attachment 2997994

Tesla pia wanakuja na Robotaxi yao wanaiita Cybercab ambayo inafanya kazi ivyo ivyo kama Waymo.

View attachment 2997998
Gari ndani itakua haina maneno mengi, steering wheel ya nini wakati we ni abiria.
View attachment 2997999
Washatoa App unaweza download kuanza kufanya mazoezi.

Gari zitakua zinatumia sensors, radar na cameras kuhakikisha usalama wa abiria na watumiaji wengine, na pia zitatumia data za ramani za mitandaoni [Google Maps, Waze, Apple Maps etc] katika navigation.

Kwa nchi zetu, italeta challenge ya ajira, na miundombinu yetu sijui kama zitaweza ila ndio tujiandae kisaikolojia.

Siku njema.
Hilo gari kwa Google map zetu hapa bongo litakuwa linakosea njia sana unaweza sema nipeleke kwa bibi nyau tandale lenyewe likapitiliza hadi sinza..
 
Back
Top Bottom