Umejaa maujinga sanaaUraiani watu wapo busy na masuala mengine ya kimaisha na kiuchumi. Huku wakichapa kazi
Mitandoni ndio utakuta baadhi ya watu wachache wanaojinasibu ni wafuasi wa Chadema na Act wazalendo.
Kwa akili ya kawaida Mbowe na Zitto watakuwa na ushawishi kwa wananchi wazalendo?
Daah ila ww 😂😂😂😂 tuna safar ndefu balaaUraiani watu wapo busy na masuala mengine ya kimaisha na kiuchumi. Huku wakichapa kazi
Mitandoni ndio utakuta baadhi ya watu wachache wanaojinasibu ni wafuasi wa Chadema na Act wazalendo.
Kwa akili ya kawaida Mbowe na Zitto watakuwa na ushawishi kwa wananchi wazalendo?
Uraiani watu wapo busy na masuala mengine ya kimaisha na kiuchumi. Huku wakichapa kazi
Mitandoni ndio utakuta baadhi ya watu wachache wanaojinasibu ni wafuasi wa Chadema na Act wazalendo.
Kwa akili ya kawaida Mbowe na Zitto watakuwa na ushawishi kwa wananchi wazalendo?
Ingia mtaani, fanya utafiti.
Nasema hivi, ww ni mzee ndio maana bado unawaza kizee. Watu wote wanaofuatilia mambo wanajua kinachoendelea kupitia mitandao. Hao wasiofuatilia mitandao wengi ni watu wa kuburuzwa, hivyo hawana madhara maana wanacheza mdundo wowote.Ndio maana nimesema mnaoishi mitandoni ndio mmehutubiwa.
Rejea huko nyuma mlivyokuwa mnafanya tathmini kupitia mitandao, matokeo ya uchaguzi yalipokuja ilikuwa ni kilio.Nasema hivi, ww ni mzee ndio maana bado unawaza kizee. Watu wote wanaofuatilia mambo wanajua kinachoendelea kupitia mitandao. Hao wasiofuatilia mitandao wengi ni watu wa kuburuzwa, hivyo hawana madhara maana wanacheza mdundo wowote.
Rejea huko nyuma mlivyokuwa mnafanya tathmini kupitia mitandao, matokeo ya uchaguzi yalipokuja ilikuwa ni kilio.
Nasema hivi, huwa mnatumia sana takwimu za wafuasi wenu wa kwenye mitandao ndio maana huwa mnaangukia pua,full stop.Unachekesha kweli, chini ya dictator uchwara kulikuwa na uchaguzi au maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura? Ndio maana nakuambia ww ni mzee, hii inapelekea ww kujadili kizee huku ukifumbia macho ukweli.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Daah ila ww [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tuna safar ndefu balaa
Mkuu kwa nchi ya Tanzania wajinga na werevu wapi ni wengi?Waache waendelee kujipa moyo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mpaka nimecheka kwa sauti mbele za watu, eti mabeberu wanatuonea wivu kwa sababu tuna watu kama mleta mada
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kazi kwel kweli......
Mjue watanzania sio wajinga kwamba hawana macho! Endeleeni kubaki mtandaoni!Mkuu kwa nchi ya Tanzania wajinga na werevu wapi ni wengi?