Wapinzani wanaisoma namba, CCM hoyee!

Wapinzani wanaisoma namba, CCM hoyee!

Mbogo nyeusi

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2019
Posts
233
Reaction score
541
Wapinzani wamepandishiwa gharama za mafuta ukiende sheli na kadi ya uanacha wa ccm mafuta utauziwa kwa sh 1700 Kama Zambia.

Tozo ya miamala ya CCM haiwahusu wanaccm hiyo ni maalumu kwa wapinzani wanaisoma namba,mwanaccm ukienda kwa wakala ukionesha kadi yako aaah hizo tozo hazikuhusu.

Wapinzani tuwakanyaje,tuwakunje, tuwatupe ccm juu. Wapinzani mtajuta kuto ipigia kura ccm 2020,oneni Wana ccm wanavyo kula bata
 
Wapinzani wamepandishiwa gharama za mafuta ukiende sheli na kadi ya uanacha wa ccm mafuta utauziwa kwa sh 1700 Kama Zambia.

Tozo ya miamala ya ccm haiwahusu wanaccm hiyo ni maalumu kwa wapinzani wanaisoma namba,mwanaccm ukienda kwa wakala ukionesha kadi yako aaah hizo tozo hazikuhusu.
Wapinzani tuwakanyaje,tuwakunje,tuwatupe ccm juuuuuu
Wapinzani mtajuta kuto ipigia kura ccm 2020,oneni Wana ccm wanavyo kula bata
Na Mimi naipongeza Serikali ya CCM kwa kupandisha Bei ya mafuta ya petrol na kuongeza ghalama za miamala ya kifedha,maana CCM na Màtaga haziwahusu zinawahusu wapinzani tu hasa Chadema wanajifanya wajuaji sana,

Tena inatakiwa wapandisha zaidi ili wapinzani waahike adabu.
 
Wapinzani wamepandishiwa gharama za mafuta ukiende sheli na kadi ya uanacha wa ccm mafuta utauziwa kwa sh 1700 Kama Zambia.

Tozo ya miamala ya CCM haiwahusu wanaccm hiyo ni maalumu kwa wapinzani wanaisoma namba,mwanaccm ukienda kwa wakala ukionesha kadi yako aaah hizo tozo hazikuhusu.

Wapinzani tuwakanyaje,tuwakunje, tuwatupe ccm juu. Wapinzani mtajuta kuto ipigia kura ccm 2020,oneni Wana ccm wanavyo kula bata
sisi watu wa chama cha Mbowe na TL inabidi tuhame nchi
 
Na Mimi naipongeza Serikali ya CCM kwa kupandisha Bei ya mafuta ya petrol na kuongeza ghalama za miamala ya kifedha,maana CCM na Màtaga haziwahusu zinawahusu wapinzani tu hasa Chadema wanajifanya wajuaji sana,

Tena inatakiwa wapandisha zaidi ili wapinzani waahike adabu.
Tuandamane kuipongeza serikali kwa hatua nzuri ya kujali wanyonge
 
Wapinzani wamepandishiwa gharama za mafuta ukiende sheli na kadi ya uanacha wa ccm mafuta utauziwa kwa sh 1700 Kama Zambia.

Tozo ya miamala ya CCM haiwahusu wanaccm hiyo ni maalumu kwa wapinzani wanaisoma namba,mwanaccm ukienda kwa wakala ukionesha kadi yako aaah hizo tozo hazikuhusu.

Wapinzani tuwakanyaje,tuwakunje, tuwatupe ccm juu. Wapinzani mtajuta kuto ipigia kura ccm 2020,oneni Wana ccm wanavyo kula bata
UVCCM Dodoma waandamane nchi nzima kuipongeza serikali yao
 
Wanaisoma kweli hata aliyeanzisha huu uzi anaijua hiyo

KAZI IENDELEE
 
Back
Top Bottom