Nehemia Kilave
JF-Expert Member
- Jan 9, 2022
- 1,414
- 3,118
Kuishinda CCM ,sio jambo dogo sababu kwanza wameshikilia dola , wana wanachama watiifu wengi ,na pesa pia .lakini wakifanya yafuatayo kwa katiba hii wanaweza shinda :-
1.Wawa hamasishe na kuwahimiza wananchi kupiga kura ,Wana CCM kwenye mitaa wanajuana na hupitiana kuhakikisha wanapiga kura .
2.Kuwatoa hofu wananchi kwamba kura haibadili matokea , kura yako inaongeza idadi na inazuia wizi , kituoni mkijiandisha 200 watu 100 wakapiga kura ni Rahisi kura 50 kuongezwa wao na kura 15 zikapewa Upinzani.
3.Kusimamisha wagombea wenye ushawishi sio watu wenye nguvu chamani , vyama vitoke vitafute watu wanaokubalika katika jamii husika .
4.Mawakala wawe wenye misimamo na motivated , wakala apewe fungu na ajue kituo chake akishinda atapata fungu lipi la ziada .
5.Vyama vifanye mabadiliko ya uongozi, kwa sasa hakuna Mwenyekiti wa Chama ambae yuko pale kwa ajili ya chama zaidi ya CCM na Maslahi tubadilike mapema kabla ya 2025 .
1.Wawa hamasishe na kuwahimiza wananchi kupiga kura ,Wana CCM kwenye mitaa wanajuana na hupitiana kuhakikisha wanapiga kura .
2.Kuwatoa hofu wananchi kwamba kura haibadili matokea , kura yako inaongeza idadi na inazuia wizi , kituoni mkijiandisha 200 watu 100 wakapiga kura ni Rahisi kura 50 kuongezwa wao na kura 15 zikapewa Upinzani.
3.Kusimamisha wagombea wenye ushawishi sio watu wenye nguvu chamani , vyama vitoke vitafute watu wanaokubalika katika jamii husika .
4.Mawakala wawe wenye misimamo na motivated , wakala apewe fungu na ajue kituo chake akishinda atapata fungu lipi la ziada .
5.Vyama vifanye mabadiliko ya uongozi, kwa sasa hakuna Mwenyekiti wa Chama ambae yuko pale kwa ajili ya chama zaidi ya CCM na Maslahi tubadilike mapema kabla ya 2025 .