Wapinzani wenyewe ndo hawa!? Haina haja ya kuwafungia kufanya mikutano

Wapinzani wenyewe ndo hawa!? Haina haja ya kuwafungia kufanya mikutano

mockers

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2013
Posts
12,843
Reaction score
35,442
Wakuu,

Jamaa wameruhusiwa kufanya mikutano ya kisiasa waliyokua wanalilia kila wakati, inashangaza mbona hawana hata hoja za maana?

Haikuepo sababu kabisa kuwazuia wasifanye mikutano, ukiwasikiliza hawana hoja yenye mashiko hata moja. Kwa aina ya wapinzani hao kuchukua dola kwanza wasahau milele.

Tanzania hakuna upinzani, ni chama kimoja na magenge madogomadogo ya watu waliojikusanya kupoteza muda wao.
 
Wakuu,

Jamaa wameruhusiwa kufanya mikutano ya kisiasa waliyokua wanalilia kila wakati, inashangaza mbona hawana hata hoja za maana?

Haikuepo sababu kabisa kuwazuia wasifanye mikutano, ukiwasikiliza hawana hoja yenye mashiko hata moja. Kwa aina ya wapinzani hao kuchukua dola kwanza wasahau milele.

Tanzania hakuna upinzani, ni chama kimoja na magenge madogomadogo ya watu waliojikusanya kupoteza muda wao.
Mfufue Jiwe halafu muulize kiukweli 2015 na 2020 alipata kura ngapi .
 
Wakuu,

Jamaa wameruhusiwa kufanya mikutano ya kisiasa waliyokua wanalilia kila wakati, inashangaza mbona hawana hata hoja za maana?

Haikuepo sababu kabisa kuwazuia wasifanye mikutano, ukiwasikiliza hawana hoja yenye mashiko hata moja. Kwa aina ya wapinzani hao kuchukua dola kwanza wasahau milele.

Tanzania hakuna upinzani, ni chama kimoja na magenge madogomadogo ya watu waliojikusanya kupoteza muda wao.
Nadhani sababu kubwa ya kufunga mikutano hiyo ya kisiasa ni kwa vile ilikuwa mara kadhaa ilikuwa inahimiza vurugu na uvunjaji wa sheria, huenda kwa kukosa hoja.
 
Nadhani sababu kubwa ya kufunga mikutano hiyo ya kisiasa ni kwa vile ilikuwa mara kadhaa ilikuwa inahimiza vurugu na uvunjaji wa sheria, huenda kwa kukosa hoja.
Watu wakizeeka wanaongezeka hekima lakini kuna wengine ni mashaka matupu!
Mkongwe unanii?
 
Muda kidogo wananchi watawapuuza
Huwa mnajifungia wapi na kusoma Uhuru na Mzalendo pekee? Kwa nini hamjichanganyi na Watanzania wengine kujua wanasema nini?
Ndio maana Wabunge wenu wa kuchonga wanaambiwa na Mwigulu wajadili uganga wa kienyeji sio uchumi na wanaufyata kama nyie wa JF mlivyo Bongolala.
Poleni sana
 
Watu wakizeeka wanaongezeka hekima lakini kuna wengine ni mashaka matupu!
Mkongwe unanii?
Una matatatizo kuamini kuwa busara ni kusema jambo linakufurahaisha wewe binafsi tu hasa iwapo akili yako ni butu
 
Wakuu,

Jamaa wameruhusiwa kufanya mikutano ya kisiasa waliyokua wanalilia kila wakati, inashangaza mbona hawana hata hoja za maana?

Haikuepo sababu kabisa kuwazuia wasifanye mikutano, ukiwasikiliza hawana hoja yenye mashiko hata moja. Kwa aina ya wapinzani hao kuchukua dola kwanza wasahau milele.

Tanzania hakuna upinzani, ni chama kimoja na magenge madogomadogo ya watu waliojikusanya kupoteza muda wao.
Naunga mkono hoja, huu ni ukweli mchungu!. Nilimshauri sana Blaza hakuna sababu yoyote ya msingi kuzuia mikutano, na nikawaomba Tume ya uchaguzi, wagombea wote wa upinzani hata wenye mapungufu, wawapitishe wote bila kuwaengua na kuwashauri wapinzani waweke wasimamizi kila kituo, Uchaguzi 2020 - Ili kuondoa kelele za kutotendewa haki, nawashauri CHADEMA na ACT wekeni Mawakala kila Kituo ili kujiridhisha, Uchaguzi Mkuu ni huru na wa haki

Hata uchaguzi wa 2025, nimewashauri wapinzani wasihangaikie sana urais, rais atatoka CCM, wao wajikite kwenye ubunge Kama Upinzani unataka mafaniko ya kweli iachane na 2025 lengo liwe 2030

Kwa Tanzania, bado hatuna upinzani wa maana wa kuitoa CCM madarakani.

P
 
Wewe unafikiri ccm kuwapiga risasi ni wajinga na kuhujumu uchaguzi kila siku unafikiri ni wajinga wewe wa Manzese kwa mfuga mbwa ndio una akili.
 
Una matatatizo kuamini kuwa busara ni kusema jambo linakufurahaisha wewe binafsi tu hasa iwapo akili yako ni butu
Umechoka Kichuguu au uliyemrithisha ID yako hakutendri haki
 
Hivi toka wafanye mikutano tofauti na kumsema marehemu john kuna kipya umesikia wamegusia?
Tumehuru kutoka mbinguni iwe na askofu mwamasika na askofu bagonza wa Mwanza.
 
Back
Top Bottom