Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
- Thread starter
-
- #61
Yaani toka jana napata picha mikono, masikio na vidole vya marehemu vikiwa vimezidi sufuria huku vinachemka halafu mama anakuja na pilipili hoho, tangawizi na mdalasini... hii dunia hii...
Vipi unapowasiliana na mr. kuhusu hicho kifaa unatumia hilo neno la mdudu pia?
Hii ni ya kawaida tu, mbona Asha Mkwizu? pale Upanga alifanya kitu kama hii???